IQNA

Kijana wa Kiislamu aenziwa kwa ujasiri wa uokoaji wa watu 100+ katika hujuma ya kigaidi Moscow

Kijana wa Kiislamu aenziwa kwa ujasiri wa uokoaji wa watu 100+ katika hujuma ya kigaidi Moscow

IQNA - Kijana wa Kiislamu ambaye aliokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi dhidi ya ukumbi wa tamasha mjini Moscow, ameendelea kupongezwa na kuenziwa.
11:19 , 2024 Mar 28
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 17

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 17

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 17 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
11:05 , 2024 Mar 28
Maadhimisho ya Miaka 21 ya Kuanzishwa kwa Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA)

Maadhimisho ya Miaka 21 ya Kuanzishwa kwa Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA)

IQNA- Makumi ya maafisa na wanaharakati wa Qur'ani wameadhimisha mwaka wa 21 wa kuanzishwa kwa kwa Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA).
10:57 , 2024 Mar 28
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 17

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 17

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:34 , 2024 Mar 28
Ramadhani 1445: Maelfu Wakaribishwa Futari Katika Haram ya Imam Ridha (AS)

Ramadhani 1445: Maelfu Wakaribishwa Futari Katika Haram ya Imam Ridha (AS)

IQNA - Mnamo Machi 25, 2024, Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini-mashariki mwa Iran, imekaribisha maelfu ya watu kwa ajili ya Futari katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
18:15 , 2024 Mar 27
Sherehe ya Ramadhani katika Bustani ya Laleh ya Tehran

Sherehe ya Ramadhani katika Bustani ya Laleh ya Tehran

IQNA - Kipindi kiitwacho 'Shahr Ramadan' huandaliwa na Idara ya Qur'ani na Etrat ya Manispaa ya Tehran katika Bustani ya Laleh kila usiku wakati wa Ramadhani kusherehekea mwezi mtukufu.
18:10 , 2024 Mar 27
Mashindano ya Qur’ani ya Afrika yafanyika Tanzania

Mashindano ya Qur’ani ya Afrika yafanyika Tanzania

IQNA- Fainali za 24 za Mashindano ya Quran Tukufu Afrika yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al Hikma Foundation kwa kushirikisha nchi mbalimbali 22 za Afrika na nje ya Afrika yamefanyika kwa mafanikio katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Tanzania Machi 24, 2024.
14:14 , 2024 Mar 27
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 16

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 16

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 16 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
13:52 , 2024 Mar 27
Makumi ya maelfu katika mjumuiko mkubwa zaidi wa Qur’ani Iran

Makumi ya maelfu katika mjumuiko mkubwa zaidi wa Qur’ani Iran

IQNA - Katika kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Hassan Mujtaba (AS), mkusanyiko mkubwa zaidi wa wanaharakati Qur'ani Tukufu nchini Iran umefanyika katika Uwanja wa Azadi mjini Tehran wenye uwezo wa kubeba watu laki moja.
13:35 , 2024 Mar 27
Kiongozi Muadhamu: Muqawama usio na kifani Gaza umeutukuza Uislamu

Kiongozi Muadhamu: Muqawama usio na kifani Gaza umeutukuza Uislamu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, Muqawama (mapambano ya Kiislamu) usio na kifani wa vikosi vya Muqawama na watu wa Ghaza umeutukuza Uislamu.
13:21 , 2024 Mar 27
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 16

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 16

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:59 , 2024 Mar 27
Mjumuiko mkubwa wa futari Rafah pamoja na kuwepo hujuma ya Israel

Mjumuiko mkubwa wa futari Rafah pamoja na kuwepo hujuma ya Israel

IQNA – Mjumuiko mkubwa wa futari umefanyika katika mji wa Rafah, kusini mwa Gaza, licha ya kuendelea mashambulizi ya utawala haramu Israel dhidi ya mji huo.
16:02 , 2024 Mar 26
Wasimamizi wa Maonyesho ya Qur'ani ya Tehran kuwaenzi watumishi wa Qur'ani

Wasimamizi wa Maonyesho ya Qur'ani ya Tehran kuwaenzi watumishi wa Qur'ani

IQNA - Hafla itafanyika katika toleo la 31 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran kuwaenzi wanaharakati na watumishi kadhaa mashujaa wa Qur'ani na wengine wanaotumikia Kitabu Kitukufu.
15:50 , 2024 Mar 26
Wanafunzi Waislamu wa Chuo Kikuu cha Washington walengwa kwa barua ya kuchukia Uislamu

Wanafunzi Waislamu wa Chuo Kikuu cha Washington walengwa kwa barua ya kuchukia Uislamu

IQNA - Jumuiya ya Wanafunzi Waislamu wa Kisomali (SSA) ya Chuo Kikuu cha Washington Seattle (SSA) imelengwa kwa barua ya chuki dhidi ya Uislamu.
15:37 , 2024 Mar 26
Maonyesho ya Qu'rani yanakuza mwingiliano wa Qur'ani miongoni mwa mataifa ya Kiislamu

Maonyesho ya Qu'rani yanakuza mwingiliano wa Qur'ani miongoni mwa mataifa ya Kiislamu

IQNA - Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ni fursa ya kujenga maingiliano na ushirikiano kati ya mataifa ya Kiislamu katika nyanja tofauti zikiwemo sanaa, tafsiri na usomaji, afisa mmoja alisema.
15:07 , 2024 Mar 26
1