Rais Barack Obama wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo haina vita na Uislamu, bali inapambana na watu wanaoupotosha Uislamu.
2015 Feb 21 , 10:23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mafundisho ya dini tukufu ya Kiislamu yanatuamrisha kuamiliana vyema, kwa insafu na uadilifu na wafuasi wa dini nyinginezo za mbinguni.
2015 Feb 17 , 20:07
Kuuliwa vijana watatu wanachuo Waislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Marekani ni kitendo kinachopaswa kulaaniwa na ni kiashiria kingine cha hatari kubwa ya kuenea kwa vitendo vya ukatili na uchupaji mipaka.
2015 Feb 16 , 16:13
Serikali ya Myanmar imetangaza kuwa, Waislamu wa kabila la Rohingya hawana haki ya kupiga kura katika kura ya maoni ya katiba ya nchi hiyo.
2015 Feb 13 , 21:58
Sheikh Shawki Ibrahim Abdulkarim Allam Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa, kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) ni kundi hatari mno na kusisitiza kwamba kundi hilo la kitakfiri na kigaidi halifungamani kabisa na matukufu ya dini ya Kiislamu na lina fikra na uelewa potofu kuhusiana na dini ya Kiislamu.
2015 Feb 13 , 20:52
Maelfu ya watu wamehudhuria mazishi ya wanachuo watatu Waislamu ambao waliuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa Chapel Hill jimbo la Carolina Kaskazini.
2015 Feb 13 , 20:50
Kuongezeka vitendo vya ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa kumeendelea kulaaniwa na kukosolewa na jamii ya Waislamu sio tu nchini humo bali pia katika bara zima la Ulaya.
2015 Feb 09 , 16:17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, amesema mafanikio makubwa yaliyopatikana katika teknolojia ya Nano na Bioteknolojia ni mfano na kipimo cha maendeleo katika sekta mbalimbali nchini
2015 Feb 01 , 10:02
Tehran (IQNA) - Waandalizi wa ‘Siku ya Hijabu Duniani’ wanatazamia Waislamu na wasiokuwa Waislamu wanatazamiwa kushiriki katika maadhimisho ya siku hiyo Februari 1 mwaka huu wa 2015.
2015 Jan 31 , 16:39
Mchezaji soka nchini Ujerumani Danny Blum ametangaza kusilimu na kuutaja Uislamu kuwa dini ya matumaini na nguvu.
2015 Jan 29 , 16:08
Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatano amekwenda kufanya ziara katika Haram ya mwanachuoni huyo mkubwa, na sambamba na kumsomea Faatiha, amemuenzi na kumuombea dua mwasisi huyo wa Mapinduzi ya Kiislamu.
2015 Jan 29 , 09:54
Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran Jumatatu wameandamana mbele ya Ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran kulaani hatua ya gazeti la Charlie Hebdo la Ufaransa ya kuchapishwa tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume wa Uislamu Muhammad (SAW).
2015 Jan 20 , 16:20
Katika mwendelezo wa chuki dhidi ya dini na matukufu ya Kiislamu, Marekani imepiga marufuku adhana katika Chuo Kikuu cha Duke nchini humo.
2015 Jan 20 , 16:17