Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil-Udhmaa Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, mabadiliko yanayojiri hivi sasa yanatokana na kubadilika mfumo uliokuwa umeasisiwa na Wamagharibi wa Ulaya na Marekani, na kujitokeza mfumo mpya.
2014 Sep 06 , 06:52
Pendekezo la kutaka kufukuliwa kaburi la Mtukufu Mtume Muhammad (saw) lililoko Masjid al-Nabawi mjini Madina na kuhamishwa mabaki ya mwili wa mtukufu huyo kwenda kuzikwa katika makaburi ya Baqii, Saudia, limekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa maulama wa Chuo Kikuu cha al-Azhar nchini Misri
2014 Sep 06 , 06:46
Utawala wa Saudi Arabia unapanga kubomoa kaburi la Mtume Muhammad SAW na kuhamisha mwili wake mtukufu katika kaburi lisilojulikana katika hatua ambayo bila shaka itaibua hasira za Waislamu kote duniani.
2014 Sep 02 , 18:38
Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sawa na siku za huko nyuma itatumia uwezo wake wote kwa ajili ya kuukomboa mji wa Quds na Msikiti wa Al Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu sambamba na kulisaidia taifal linalodhulumiwa la Palestina.
2014 Sep 01 , 15:35
Mufti Mkuu wa Misri Shawki Allam ameipunguza kuwa kifungo cha maisha jela hukumu ya adhabu ya kifo iliyotolewa na mahakama kwa Mohamed Badie, kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin.
2014 Sep 01 , 15:26
Takwimu mpya katika mji mkuu wa Norway, Oslo zinaoneysha kuwa, Mohammad, jina la Mtume Mtukufu wa Uislamu (SAW) ndio jina mashuhuri zaidi mjini humo.
2014 Aug 30 , 13:57
Maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza wameendelea kusherehekea kufikiwa makubaliano ya muda mrefu kuhusu usitishaji mapigano kati ya makundi ya muqawama na utawala wa Kizayuni wa Israel.
2014 Aug 27 , 16:59
Wanamgambo wa kitakfiri wa kundi la Boko Haram wa nchini Nigeria wametangaza kuasisi kile walichokitaja kuwa ni utawala wa “Khilafa” huko kaskazini mashariki mwa mji wa Gwoza.
2014 Aug 26 , 19:01
Baraza Kuu la Waislamu nchini Uingereza limelaani ukatili wa kundi la kigaidi la Daesh na kusisitiza kuwa, kundi hilo halina mfungamano wowote na dini Tukufu ya Uislamu.
2014 Aug 23 , 10:05
Ayatullah Muhsin Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuzikurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, miongoni mwa malengo muhimu ya risala ya Kiislamu na jukumu la Bwana Mtume SAW lilikuwa ni kuleta umoja baina ya watu
2014 Aug 21 , 15:28
Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa vitendo vinavyofanywa na kundi la Daesh vinapingana na thamani za kibinadamu na Kiislamu na kwamba kundi hilo ni genge la kigaidi ambalo haliwezi kutambuliwa kuwa ni dola la Kiislamu.
2014 Aug 14 , 18:55
Waziri Mkuu mteule wa Iraq Haider al—Abadi ni msomi mashuhuri wa Qur'ani.
2014 Aug 14 , 10:54
Rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bi. Catherine Samba Panza, amemteua Mohammad Kamoun kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.
2014 Aug 12 , 17:42