iqna

IQNA

ugiriki
Waislamu Ulaya
IQNA - Sala ya Idul Fitr iliswaliwa na zaidi ya waumini 100 wa Kiislamu katika Msikiti wa Yeni huko Thessaloniki, kaskazini mwa Ugiriki, siku ya Jumatano.
Habari ID: 3478674    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12

Haki za Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameilaani Ugiriki kwa madai ya kukiuka mkataba wa amani wa karne moja na kuwakandamiza Waislamu walio wachache katika eneo la Thrace.
Habari ID: 3475539    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Turathi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Benaki huko Ugiriki lina mkusanyiko wa kazi za sanaa zilizokusanywa zaidi ya karne 13, nyingi zikiwa na umuhimu maalum.
Habari ID: 3475501    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kwanza katika mji mkuu wa Ugiriki, Athens umefunguliwa baada ya miaka 14 ya vuta nikuvute na urasimu kupita kiasi.
Habari ID: 3473329    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/04

TEHRAN (IQNA)- Baada ya miaka kadhaa ya vuta nikuvute, msikiti wa kwanza rasmi katika mji mkuu wa Ugiriki, Athens utafunguliwa rasmi mwezi ujao wa Oktoba.
Habari ID: 3473181    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/18

Wizara ya Elimu na Masuala ya Kidini Ugiriki imetangaza kuwa Waislamu mjini Athens watatengewa nafasi maalumu kwa ajili ya Sala ya Idul Fitr, ambayo husaliwa baada ya kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470370    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/08