iqna

IQNA

Isarel
Rais Al Bashir
TEHRAN (IQNA)- Rais Omar al Bashir wa Sudan amefichua kuwa: "Tulishauriwa tuwe na uhusiano wa kawaida na Israel ili hali ya nchi yetu iboreke."
Habari ID: 3471797    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/05