IQNA

Ayatullah Khamenei alipongeza Taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya Israel, Marekani

IQNA - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya utawala wa Israel na Marekani...

UNRWA: Wapalestina wa Gaza wakaribia kufa kutokana na kiu

IQNA - Mgogoro mkubwa wa maji unatishia Wapalestina wa Gaza ambapo wanaweza kufariki kutokana na kiu cha maji  huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendeleza...

Wahifadhi Qur'ani kutoka Nchi 85 wajisajili katika Mashindano ya Qur’ani ya Dubai

IQNA – Wahifadhi Qur’ani kutoka nchi 85 wamesajili majina yao ili kushiriki katika toleo la 28 la Tuzo la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Dubai.

Pazia la Kaaba limebadilishwa kwa mnasaba wa kuanza mwaka wa Kiislamu 1447 Hijria

IQNA – Pazia la Kaaba Tukufu ambalo linajulikana kama Kiswa, linabadilishwa wiki hii kuashiria kuanza kwa mwaka wa Kiislamu wa 1447 AH.
Habari Maalumu
Wapalestina zaidi ya 56,077  wameuawa shahidi katika mauaji ya kimbari yanatekelezwa na Israel Gaza

Wapalestina zaidi ya 56,077 wameuawa shahidi katika mauaji ya kimbari yanatekelezwa na Israel Gaza

IQNA - Jeshi katili la Israel dhid limeua takriban Wapalestina 56,077 katika mauaji ya kimbari huko Gaza tangu Oktoba 7, 2023.
25 Jun 2025, 22:42
Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mshikamano wa Waislamu katika ulimwengu wa Kiislamu umefikia kiwango kisicho na kifani kufuatia Operesheni ya Ahadi ya Kweli III dhidi ya utawala...
25 Jun 2025, 05:38
Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

IQNA - Waziri wa Afya wa Iran Daktari Mohammad Reza Zafarghandi amesema idadi ya waliouawa katika hujuma ya utawala wa Israel dhidi ya Iran ni 606.
25 Jun 2025, 00:15
Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limetoa taarifa Jumanne na kuthibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umelazimika kukubali mapatano ya...
24 Jun 2025, 23:58
Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

IQNA-Mohammad Eslami Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, hatuna imani tena na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA)...
22 Jun 2025, 19:48
Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa taarifa ikilaani hujuma na uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya taifa hili vinavyofanya...
22 Jun 2025, 19:40
'Iran Mashallah!': Watu Saudi Arabia waisifu namna Iran inavyokabiliana na uchokozi wa Israel

'Iran Mashallah!': Watu Saudi Arabia waisifu namna Iran inavyokabiliana na uchokozi wa Israel

IQNA-Waziri wa zamani wa Utamaduni wa Iran ameeleza jinsi Mahujaji wa kigeni na watu wa Saudia wanavopongeza jibu halali la Iran kufuatia uhokozi na uvamizi...
21 Jun 2025, 19:06
Maandamano yafanyika Asia Magharibi kuunga mkono Iran

Maandamano yafanyika Asia Magharibi kuunga mkono Iran

IQNA-Maandamano yamefanyika katika nchi kadhaa za eneo siku ya Ijumaa kutangaza kufungamana na Iran wakati huu wa kukabiliana na hujuma ya kichokozi na...
21 Jun 2025, 14:58
Sheikh Mkuu wa Al Azhar alaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya Iran

Sheikh Mkuu wa Al Azhar alaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya Iran

IQNA-Imam wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amelanaani ikali mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israeldhidi ya Jamhuri ya Kiislamu...
21 Jun 2025, 14:51
Mufti wa Libya: Vita vya Iran na Israel ni mapambano baina ya Uislamu na Ukafiri

Mufti wa Libya: Vita vya Iran na Israel ni mapambano baina ya Uislamu na Ukafiri

IQNA-Mufti wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani amesema kuwa vita vinavyooendelea kati ya Iran na Israel ni vita baina ya Uislamu na ukafiri.
20 Jun 2025, 23:11
Hizbullah:  Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

Hizbullah: Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa harakati hiyo kwa Iran huku akilaani hujuma...
20 Jun 2025, 22:47
Qari maarufu wa Misri, Sheikh Taruti, afungamana na Iran katika kukabiliana na Israel

Qari maarufu wa Misri, Sheikh Taruti, afungamana na Iran katika kukabiliana na Israel

IQNA- Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Abdul Fattah  Taruti, ametangaza kufungamana na watu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala...
19 Jun 2025, 21:33
Wasomi wa Kiislamu Palestina waunga mkono Iran

Wasomi wa Kiislamu Palestina waunga mkono Iran

IQNA- Baraza la Maulamaa wa Kiislamu Palestina limetoa taarifa na kutangaza kufungamana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala wa...
19 Jun 2025, 22:04
Msomi wa Morocco: Nchi za Kiislamu ziunge mkono Iran kukabiliana na hujuma ya Israel

Msomi wa Morocco: Nchi za Kiislamu ziunge mkono Iran kukabiliana na hujuma ya Israel

IQNA- Rais wa zamani wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu, Sheikh Ahmed al Raissouni, ametoa wito kwa Waislamu duniani kote kuunga mkono Iran katika...
19 Jun 2025, 19:15
Kiongozi  mkuu wa Mashia Iraq alaani vitisho  dhidi ya Ayatullah Khamenei

Kiongozi mkuu wa Mashia Iraq alaani vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei

IQNA-Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Mashia wa Iraq Ayatullah Sistani amelaani vikali hujuma inayoendelea ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi...
19 Jun 2025, 18:54
Kiongozi Muadhamu: Wamarekani wafahamu kuwa taifa la Iran halitasalimu amri

Kiongozi Muadhamu: Wamarekani wafahamu kuwa taifa la Iran halitasalimu amri

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran litasimama kidete  katika kukabiliana na vita vya kulazimishwa, kama ambavyo halitakubali...
18 Jun 2025, 22:39
Picha‎ - Filamu‎