Habari Maalumu
IQNA – Ingawa Maktaba ya Vatican ni maktaba ya Kikristo, urithi wa Kiislamu unachukua nafasi maalum ndani yake na Misahafu (nakala za Qur'ani) inahifadhiwa...
31 Aug 2025, 17:37
IQNA – Juhudi za kuunda Bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu zinalenga kuunda jukwaa la kutatua matatizo ya Waislamu kwa kutumia misingi ya Qur'ani,...
31 Aug 2025, 11:39
IQNA – Karibu wamilioni 53 za ziara zilirekodiwa katika Msikiti Mkuu wa Makkah na Msikiti wa Mtume huko Madina katika mwezi mmoja uliopita wa Hijria Qamaria.
31 Aug 2025, 11:51
IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi...
31 Aug 2025, 17:44
IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina na kitendo cha...
30 Aug 2025, 17:25
IQNA-Ujumbe wa viongozi wa kidini kutoka Iran, wakiongozwa na Ayatullah Alireza Arafi na Ayatullah Ahmad Mobaleghi, umefanya ziara ya siku tatu nchini...
30 Aug 2025, 17:11
IQNA – Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu katika Jamhuri ya Tatarstan katika Shirikisho la Urusi (Russia) imetangaza kuandaliwa kwa mfululizo wa sherehe...
30 Aug 2025, 17:06
IQNA – Uchunguzi unaendelea mjini Mississauga, Kanada baada ya mtu mmoja kuharibu msikiti mapema mwezi huu, huku polisi wakisema ni mapema mno kusema iwapo...
30 Aug 2025, 17:00
IQNA – Zaidi ya Wairani milioni tano wanasubiri kwa hamu nafasi yao ya kwenda kufanya ibada ya Umrah, afisa mmoja amesema.
30 Aug 2025, 16:48
IQNA – Hujjatul-Islam Ali Taghizadeh, mkuu wa Taasisi ya Dar-ul-Quran ya Iran, amelaani vikali kitendo cha kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu kilichofanywa...
29 Aug 2025, 11:43
IQNA – Makumbusho ya Kiislamu ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa yanahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa nakala nadra za kihistoria za Qur'an Tukufu, kuanzia enzi...
29 Aug 2025, 11:35
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza kuwa Siku ya Pili ya Kimataifa ya Khatm (Kuhitimisha) Qur'ani Tukufu itaadhimishwa siku...
29 Aug 2025, 11:21
IQNA – Maonyesho ya Kimataifa na Makumbusho ya Maisha ya Mtume Muhammad (SAW) pamoja na Ustaarabu wa Kiislamu yamezinduliwa katika Mnara wa Saa, katika...
29 Aug 2025, 11:14
IQNA-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo kali Alhamisi katika Makao Makuu ya Unmoja wa Mataifa jijini New York akilihimiza Baraza...
29 Aug 2025, 11:05
IQNA – Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Imam Sadiq (AS) nchini Iran ameelezea Sira na mafundisho ya Mtume Muhammad (S.A.W.) kuhusu ulinzi wa mazingira,...
28 Aug 2025, 17:20
QNA – Toleo la 19 la Tuzo ya Kimataifa ya Mohammed VI ya Kuhifadhi, Kusoma, Tajweed, na Tafsiri ya Qur'ani lilifunguliwa Jumanne, Agosti 26, mjini Rabat,...
28 Aug 2025, 17:26