IQNA

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

IQNA – Roboti za kielektroniki zinazoweza kuingiliana na watumiaji zimetumika katika toleo la 45 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika Makkah...

Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa India amewahimiza maimamu wa misikiti mbalimbali nchini humo kuandaa dua maalumu na saumu kwa nia ya kuwasaidia Waislamu wa Gaza.

Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

IQNA – Jukwaa la kielimu la Qur’ani kwa ajili ya wasiozungumza Kiarabu linazinduliwa nchini Saudi Arabia.

Siku ya Pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudia

IQNA – Siku ya pili ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma kwa Tajwidi na Kufasiri Qur’ani Tukufu ilishuhudia washiriki...
Habari Maalumu
Dada Watatu wa Kipalestina wahihifadhi Qur’ani Tukufu Katikati ya Vita, Njaa na Ukimbizi

Dada Watatu wa Kipalestina wahihifadhi Qur’ani Tukufu Katikati ya Vita, Njaa na Ukimbizi

IQNA – Katika Ukanda wa Gaza uliokumbwa na vita, dada watatu wa Kipalestina wamekamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote, licha ya kuvumilia mashambulizi...
11 Aug 2025, 23:21
Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

IQNA – Maonyesho ya sanaa yenye maudhui ya Qur’ani yameandaliwa kando ya njia ya Ziyara ya Arbaeen ili kuonesha thamani za harakati ya Imam Hussein (AS)...
10 Aug 2025, 23:53
MO Salah wa Liverpool akosoa  msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

MO Salah wa Liverpool akosoa msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

IQNA-Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool, Mohamed Salah amekosoa hatua ya Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA ya kumuenzi Suleiman Al-Obeid,...
10 Aug 2025, 23:46
Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa matembezi Arbaeen yanabeba kanuni muhimu ambazo zinaweza kusaidia kuweka msingi wa kustawishwa upya kwa...
10 Aug 2025, 23:39
 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

IQNA – Qari bora wa kiume wa Malaysia katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani mwaka huu nchini humo amesema kuwa kujifunza kutoka kwa mashaikh wa qiraa’ah...
10 Aug 2025, 23:32
Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya  Qur'ani ya Malaysia watangazwa

Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia watangazwa

IQNA – Wawakilishi wawili kutoka Malaysia wametwaa ubingwa katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Malaysia (MTHQA)...
10 Aug 2025, 08:45
Kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath: Qari wa Mauritania Awasilisha Qiraa

Kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath: Qari wa Mauritania Awasilisha Qiraa

IQNA – Maqari kutoka mataifa mbalimbali wanaendelea kushiriki katika kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath kwa kuwasilisha video za kisomo chao cha maneno...
10 Aug 2025, 08:57
Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia amesema kuwa serikali yake itatenga ufadhili wa ziada kwa Yayasan Restu ili kuwezesha tafsiri ya Qur’ani Tukufu katika lugha...
09 Aug 2025, 20:25
Vitisho  vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

Vitisho vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

IQNA – Viongozi wa moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Australia wamesema wamepokea vitisho vya kuuwawa baada ya kutangazwa mpango wa kuweka vipaza sauti...
09 Aug 2025, 20:16
Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI)  katika kutoa Fatwa

Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika kutoa Fatwa

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) haina mamlaka ya kutoa maamuzi ya Kiislamu au fatwa.
09 Aug 2025, 20:10
Wafanyaziyara zaidi ya milioni 3 wa kimataifa wameingia Iraq kwa ajili ya Arbaeen hadi sasa

Wafanyaziyara zaidi ya milioni 3 wa kimataifa wameingia Iraq kwa ajili ya Arbaeen hadi sasa

IQNA – Zaidi ya wafanyaziyara milioni tatu kutoka mataifa ya kigeni tayari wameingia Iraq kushiriki katika matembezi ya kila mwaka ya Arubaini, Waziri...
09 Aug 2025, 20:03
Majaji wapongeza kiwango kinachopanda katika Mashindano ya Qur'ani Malaysia

Majaji wapongeza kiwango kinachopanda katika Mashindano ya Qur'ani Malaysia

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia (MTHQA), yameimarika kwa mtazamo wa viwango ambapo majaji wamepongeza mahadhi na uhifadhi...
09 Aug 2025, 19:43
Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

IQNA – Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai imetangaza matokeo ya mchujo wa awali, ambapo washiriki 525 wamechaguliwa kuendelea katika toleo la...
09 Aug 2025, 00:29
Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Gavana wa mkoa wa Karbala, Iraq, ametangaza kufanikiwa kuvuruga njama ya kigaidi iliyolenga wafanyaziyara wa Arbaeen katika eneo lake.
09 Aug 2025, 00:25
Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Msikiti Mtakatifu jijini Makkah unatarajiwa kuanza kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani kuanzia Jumamosi.
09 Aug 2025, 00:19
Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

IQNA – Katika ufunguzi wa Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 jijini Kuala Lumpur, Malaysia, wito umetolewa wa kuifanya Qur’ani kuwa mwongozo wa kina katika...
09 Aug 2025, 00:15
Picha‎ - Filamu‎