IQNA

Imam Khamenei awashukuru wananchi wa Iran kwa kuwakatisha tamaa maadui

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amewasifu na kuwapongeza wananchi wa Iran kwa kujitokeza kwa wingi kote nchini...

Muujiza wa mahudhurio ya tarehe 11 Februari ulikuwa taswira iliyo wazi ya Iran yenye nguvu

IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesisitiza kuwa maadui, kupitia vitisho vya moja kwa moja vya kijeshi na maonyesho ya nguvu za manowari zao...

Ilhan Omar: Kwa kunishambulia, Trump anajaribu kugeuza macho ya umma kutoka kwenye kashfa ya Epstein

IQNA-Ilhan Omar mwakilishi Mwislamu wa Bunge la Marekani, akijibu tuhuma za Donald Trump dhidi yake, alimtaja Trump kama mnyanyasaji kingono wa watoto,...

Chuo cha Kiislamu cha Imam Baqir (AS) Chafunguliwa Nigeria

IQNA – Chuo cha elimu ya Kiislamu kwa jina la Chuo cha Imam Muhammad Baqir (AS) kimefunguliwa rasmi katika mji wa Qani, nchini Nigeria.
Habari Maalumu
Shambulio kwenye Kituo cha Kuhifadhi Qur’ani Sudan limesababisha vifo vya watoto watatu

Shambulio kwenye Kituo cha Kuhifadhi Qur’ani Sudan limesababisha vifo vya watoto watatu

IQNA – Shambulio la ndege zisizo na rubani au droni lililolenga msikiti na kituo cha kuhifadhi Qur’ani katika jimbo la Kordofan Kaskazini nchini Sudan...
12 Feb 2026, 12:22
Mapinduzi ya Kiislamu: Mfano wa Kuunganisha Dini, Maisha na Maendeleo katika dunia ya leo

Mapinduzi ya Kiislamu: Mfano wa Kuunganisha Dini, Maisha na Maendeleo katika dunia ya leo

IQNA – Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamegeuka kuwa mfano hai wa kuunganisha dini, maisha ya kijamii na maendeleo katika ulimwengu wa kisasa, amesema mchambuzi...
12 Feb 2026, 13:18
Kituo cha Qur’ani cha Wanawake Chafunguliwa Bahrain

Kituo cha Qur’ani cha Wanawake Chafunguliwa Bahrain

IQNA – Kituo cha Sheikha Hessa Bint Ali Al Khalifa cha Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Kufundisha Sayansi za Qur’ani kimefunguliwa rasmi kwa ajili ya wanawake...
12 Feb 2026, 13:09
Wasimamizi wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran Watangazwa

Wasimamizi wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran Watangazwa

IQNA – Wizara ya Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza uteuzi wa wasimamizi wa sehemu mbalimbali na kamati za Maonyesho...
12 Feb 2026, 13:05
Iran haitapiga goti mbele ya madai ya kupindukia ya Marekani
Rais Pezeshkian katika hotuba ya maandamano ya tarehe 22 Bahman:

Iran haitapiga goti mbele ya madai ya kupindukia ya Marekani

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika maadhimisho ya Siku ya Allah ya tarehe 22 Bahman (Februari 11), amesema kuwa Iran haitaki kumiliki silaha...
11 Feb 2026, 22:00
Wananchi wa Iran wajitokeza kwa mamilioni kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Wananchi wa Iran wajitokeza kwa mamilioni kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Mamilioni ya wananchi kutoka matabaka yote ya kijamii wamejitokeza mitaani kote nchini Iran kushiriki maandamano ya kitaifa yanayoashiria maadhimisho ya...
11 Feb 2026, 10:46
Waandamanaji wapinga ziara ya rais wa utawala wa Israel nchini Australia

Waandamanaji wapinga ziara ya rais wa utawala wa Israel nchini Australia

IQNA – Ziara rasmi ya rais wa utawala wa Israel, Isaac Herzog, nchini Australia ilikumbwa na maandamano makubwa siku ya Jumatatu, huku maelfu ya waandamanaji...
11 Feb 2026, 08:16
Maqari bora wa Kipindi cha Dawlat El-Tilawah watunukiwa katika Chuo Kikuu cha Cairo

Maqari bora wa Kipindi cha Dawlat El-Tilawah watunukiwa katika Chuo Kikuu cha Cairo

IQNA – Ingawa kipindi cha vipaji vya Qur’ani cha Misri “Dawlat El‑Tilawah" bado hakijafikia hatua ya fainali, Maqari au wasomaji wawili waliobainika...
11 Feb 2026, 08:05
Kuibua Vipaji na Imani: Mashindano Maalum ya Qur'ani kwa Wenye Usonji nchini Libya

Kuibua Vipaji na Imani: Mashindano Maalum ya Qur'ani kwa Wenye Usonji nchini Libya

IQNA – Mashindano maalum ya Qur'ani yaliyobuniwa mahsusi kwa watu wenye usonji wa Down yamefanyika kwa mafanikio makubwa mjini Benghazi, Libya, yakilenga...
10 Feb 2026, 11:42
Ramadhani Kuanza Februari 19 Nchini Saudi Arabia kwa Mujibu wa Hesabu za Kiastronomia

Ramadhani Kuanza Februari 19 Nchini Saudi Arabia kwa Mujibu wa Hesabu za Kiastronomia

IQNA – Wakati mamilioni ya Waislamu duniani kote wakisubiri kwa hamu kuwasili kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani na maandalizi yakiendelea, hesabu za kiastronomia...
10 Feb 2026, 11:31
Jumuiya ya Qur'ani ya Iran: Vita kuu duniani bado ni vita juu ya Qur'ani

Jumuiya ya Qur'ani ya Iran: Vita kuu duniani bado ni vita juu ya Qur'ani

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imesisitiza kuwa vita kuu duniani hadi leo bado ni vita juu ya Qur'ani, ikisema kuwa hali ya sasa ya maendeleo...
10 Feb 2026, 11:21
Tuzo ya 9 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Katara: Washiriki 100 Wafuzu Hatua ya Mwisho

Tuzo ya 9 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Katara: Washiriki 100 Wafuzu Hatua ya Mwisho

IQNA – Toleo la 9 la Tuzo ya Katara ya Usomaji wa Qurani Tukufu limeingia rasmi katika hatua ya fainali, baada ya washiriki 100 kufuzu kushiriki duru ya...
09 Feb 2026, 11:15
Kiongozi Muadhamu asisitiza kushiriki kwa wingi katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Kiongozi Muadhamu asisitiza kushiriki kwa wingi katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa taifa la Iran kuonyesha irada, azma thabiti na kusimama...
10 Feb 2026, 07:15
Gharama Nafuu ya Hija Ni Kipaumbele, Asema Rais wa Indonesia

Gharama Nafuu ya Hija Ni Kipaumbele, Asema Rais wa Indonesia

IQNA – Uendelezaji wa Kijiji cha Hija cha Indonesia mjini Makkah ni mhimili mkuu wa ahadi ya Rais Prabowo Subianto ya kuhakikisha ibada ya Hija inakuwa...
09 Feb 2026, 11:45
Mpango wa Nigeria wa Kuongoza Soko la Kimataifa la Halal

Mpango wa Nigeria wa Kuongoza Soko la Kimataifa la Halal

IQNA-Rais wa Nigeria ametangaza mkakati wa kitaifa wa uchumi wa Halal unaolenga kuiwezesha nchi hiyo kujipatia nafasi ya mbele katika soko la kimataifa...
09 Feb 2026, 11:02
Sheikh Omar Hashem aliyekuwa Mkuu wa Al-Azhar aenziwa Tehran kwa kukuza umoja Kiislamu

Sheikh Omar Hashem aliyekuwa Mkuu wa Al-Azhar aenziwa Tehran kwa kukuza umoja Kiislamu

IQNA – Hafla maalumu imefanyika mjini Tehran siku ya Jumapili kutoa heshima kwa marehemu mwanazuoni mashuhuri Sheikh Ahmed Omar Hashem, aliyewahi kuwa...
09 Feb 2026, 10:30
Picha‎ - Filamu‎