IQNA

Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Uongozi wa Palestina wa Jimbo la al-Quds umetangaza kuwa Israel inafanya uchimbaji haramu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Mashariki mwa al-Quds...

Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya Wanafunzi waenziwa nchini Iraq

IQNA – Mashindano ya Qur’ani yalifanyika kwa ajili ya wanafunzi mahiri waliokuwa wakihudhuria kozi za Qur’ani za majira ya kiangazi zilizoandaliwa na Jumuiya...

Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiiraqi ya Asaib Ahl Al-Haq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesisitiza kuwa kulinda na kuendeleza Hashd al-Sha’abi (Vikosi...

Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya...
Habari Maalumu
Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

IQNA – Ingawa Maktaba ya Vatican ni maktaba ya Kikristo, urithi wa Kiislamu unachukua nafasi maalum ndani yake na Misahafu (nakala za Qur'ani) inahifadhiwa...
31 Aug 2025, 17:37
Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Juhudi za kuunda Bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu zinalenga kuunda jukwaa la kutatua matatizo ya Waislamu kwa kutumia misingi ya Qur'ani,...
31 Aug 2025, 11:39
Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

IQNA – Karibu wamilioni 53 za ziara zilirekodiwa katika Msikiti Mkuu wa Makkah na Msikiti wa Mtume huko Madina katika mwezi mmoja uliopita wa Hijria Qamaria.
31 Aug 2025, 11:51
Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi...
31 Aug 2025, 17:44
Wayemen waandamana kulaani uchomaji wa nakala ya Qur’ani Marekani na ukatili wa Israeli Gaza

Wayemen waandamana kulaani uchomaji wa nakala ya Qur’ani Marekani na ukatili wa Israeli Gaza

IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina na kitendo cha...
30 Aug 2025, 17:25
Ujumbe wa Iran watembelea Malaysia kuimarisha uhusiano wa kidini, kielimu na kitamaduni

Ujumbe wa Iran watembelea Malaysia kuimarisha uhusiano wa kidini, kielimu na kitamaduni

IQNA-Ujumbe wa viongozi wa kidini kutoka Iran, wakiongozwa na Ayatullah Alireza Arafi na Ayatullah Ahmad Mobaleghi, umefanya ziara ya siku tatu nchini...
30 Aug 2025, 17:11
Misikiti 1,600 ya Tatarstan yaandaa sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

Misikiti 1,600 ya Tatarstan yaandaa sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu katika Jamhuri ya Tatarstan katika Shirikisho la Urusi (Russia) imetangaza kuandaliwa kwa mfululizo wa sherehe...
30 Aug 2025, 17:06
Polisi  huko Mississauga, Kanada wachunguza kitendo cha hujuma dhidi ya Msikiti

Polisi huko Mississauga, Kanada wachunguza kitendo cha hujuma dhidi ya Msikiti

IQNA – Uchunguzi unaendelea mjini Mississauga, Kanada baada ya mtu mmoja kuharibu msikiti mapema mwezi huu, huku polisi wakisema ni mapema mno kusema iwapo...
30 Aug 2025, 17:00
Wairani milioni tano wanasubiri zamu kwa ajili ya safari ya Umrah

Wairani milioni tano wanasubiri zamu kwa ajili ya safari ya Umrah

IQNA – Zaidi ya Wairani milioni tano wanasubiri kwa hamu nafasi yao ya kwenda kufanya ibada ya Umrah, afisa mmoja amesema.
30 Aug 2025, 16:48
Kituo cha Qur'ani Iran chalaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Marekani

Kituo cha Qur'ani Iran chalaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Marekani

IQNA – Hujjatul-Islam Ali Taghizadeh, mkuu wa Taasisi ya Dar-ul-Quran ya Iran, amelaani vikali kitendo cha kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu kilichofanywa...
29 Aug 2025, 11:43
Makumbusho ya Kiislamu ya Al-Aqsa Yahifadhi Nakala Adimu za Qur'an za Karne Nyingi

Makumbusho ya Kiislamu ya Al-Aqsa Yahifadhi Nakala Adimu za Qur'an za Karne Nyingi

IQNA – Makumbusho ya Kiislamu ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa yanahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa nakala nadra za kihistoria za Qur'an Tukufu, kuanzia enzi...
29 Aug 2025, 11:35
Agosti 30, Siku ya Kimataifa ya Khitimisha Qur'ani Tukufu

Agosti 30, Siku ya Kimataifa ya Khitimisha Qur'ani Tukufu

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza kuwa Siku ya Pili ya Kimataifa ya Khatm (Kuhitimisha) Qur'ani Tukufu itaadhimishwa siku...
29 Aug 2025, 11:21
Makumbusho ya Maisha ya Mtume Muhammad (SAW) na Ustaarabu wa Kiislamu Yazinduliwa Makkah

Makumbusho ya Maisha ya Mtume Muhammad (SAW) na Ustaarabu wa Kiislamu Yazinduliwa Makkah

IQNA – Maonyesho ya Kimataifa na Makumbusho ya Maisha ya Mtume Muhammad (SAW) pamoja na Ustaarabu wa Kiislamu yamezinduliwa katika Mnara wa Saa, katika...
29 Aug 2025, 11:14
Mkuu wa UN aonya kuhusu jinai za Israel Gaza, ataka zikome mara moja

Mkuu wa UN aonya kuhusu jinai za Israel Gaza, ataka zikome mara moja

IQNA-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo kali Alhamisi katika Makao Makuu ya Unmoja wa Mataifa jijini New York akilihimiza Baraza...
29 Aug 2025, 11:05
Msomi: Mtume Muhammad (SAW) alihimiza kuhusu kutunza mazingira

Msomi: Mtume Muhammad (SAW) alihimiza kuhusu kutunza mazingira

IQNA – Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Imam Sadiq (AS) nchini Iran ameelezea Sira na mafundisho ya Mtume Muhammad (S.A.W.) kuhusu ulinzi wa mazingira,...
28 Aug 2025, 17:20
Morocco yaandaa Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI

Morocco yaandaa Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI

QNA – Toleo la 19 la Tuzo ya Kimataifa ya Mohammed VI ya Kuhifadhi, Kusoma, Tajweed, na Tafsiri ya Qur'ani lilifunguliwa Jumanne, Agosti 26, mjini Rabat,...
28 Aug 2025, 17:26
Picha‎ - Filamu‎