IQNA

Fiqhi Katika Qur’ani Tukufu: Juhudi za Kutumia Uwezo wa Qur'ani katika Fiqhi

TEHRAN (IQNA) – Fiqh katika Qur’ani ni kazi ya kufasiri Qur’ani Tukufu ambayo mwandishi ametafsiri Ayat al-Ahkam ya Kitabu kitukufu.
Kitabu Kisichokuwa na Shaka
Ifahamu Qur'ani Tukufu /13
TEHRAN (IQNA) – Mwenyezi Mungu, katika Aya ya 2 ya Surah Al-Baqarah, anaitaja Qur'ani Tukufu kuwa ni kitabu kisicho na shaka ndani yake. Je, kuna uhakika gani juu ya Qur'ani Tukufu ambayo aya hii inaizungumzia?
2023 Jul 08 , 18:49
Maktaba ya Msikiti Mtakatifu wa Makka yaonyesha Misahafu ya kipekee
MAKKA (IQNA) - Maktaba ya Msikiti Mkuu wa Makka nchini Saudi Arabia inaonyesha Misahafu (Nakala za Qur'ani) ya kipekee ya kale na pia michoro ambayo ina aya za Qur'ani Tukufu.
2023 Jul 08 , 14:52
Surah Al-Layl inazungumza kuhusu wanaotoa fedha kwa ajili ya Mwenyezi Mungu
TEHRAN (IQNA) – Linapokuja suala la fedha na mali, watu wamegawanyika katika makundi mawili: wale wanaotumia fedha zao kusaidia wengine na wale wanaojilimbikizia mali bila ya kuwasaidia wengine.
2023 Jul 05 , 17:30
Waislamu milioni nne watembelea Msikiti wa Mtume SAW mjini Madina katika kipindi cha wiki moja
MADINA (IQNA) - Zaidi ya mahujaji milioni nne wametembelea Msikiti wa Mtume SAW ambao ni maarufu kama Al-Masjid an-Nabawi huko Madina katika wiki moja, mamlaka ya Saudi inasema.
2023 Jul 05 , 16:19
Qarii Yunus Shahmoradi wa Iran alaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu + Video
Yunus Shahmoradi, qarii kijana wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran, katika kukabiliana na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi, alihudhuria Msikiti wa Mtume (SAW) amesema aya ya Sura At Tawba.
2023 Jul 05 , 14:34
Wasomaji Qur'ani Wairani wakiwa katika Jabal al Noor + Video
Makka (IQNA)Vijana wawili wasomaji Qur'ani Tukufu Wairani, ambao wamekwenda katika ardhi ya Wahyi (Makka) wakiwa katika msafara wa Qur'ani wa Noor, walishiriki katika mashindano ya aya za mwanzo za Surah Al-Alaq katika eneo la Pango la Hira.
2023 Jul 05 , 14:15
Fadhila ya Qur'ani Tukufu kuwa katika Kiarabu
TEHRAN (IQNA) – Moja ya sifa ambazo Mwenyezi Mungu anaielezea Qur'ani Tukufu ni kwamba imeteremshwa kwa Kiarabu. Je, ni nini fadhila ya Quran kuwa katika lugha ya Kiarabu?
2023 Jul 04 , 21:11
Mwenyezi Mungu Anaapa mara 11 katika Surah Ash-Shams
TEHRAN (IQNA) – Kuapa kwa kitu hutokea wakati suala muhimu sana litatajwa. Katika Surah Ash-Shams ya Qur'ani Tukufu, Mwenyezi Mungu anaapa mara 11 kabla ya kuashiria jambo muhimu sana.
2023 Jul 03 , 17:28
Kwanini Qur'ani Tukufu inatajwa kuwa kitabu chenye baraka
TEHRAN (IQNA)- Moja ya sifa zinazotumika kuitaja Qur'ani Tukufu ni ' imebarikiwa’. Sifa hii tukufu inamaanisha nini na kwa nini Mwenyezi Mungu anakielezea Kitabu Hiki Kitakatifu kama kilichobarikiwa?
2023 Jul 02 , 08:18
Sharti la Kupata Furaha ya Kudumu
Sura za Qur'ani Tukufu /90
Wanadamu wana lengo moja kuu, nalo ni kupata furaha kamili na ya kudumu. Hili ni lengo la kawaida lakini watu huchagua njia tofauti za kulifikia.
2023 Jul 01 , 13:41