IQNA

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

IQNA – Roboti za kielektroniki zinazoweza kuingiliana na watumiaji zimetumika katika toleo la 45 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika Makkah kwa lengo la kuboresha huduma kwa wageni.
23:59 , 2025 Aug 11
Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu Akagua Huduma Zinazotolewa kwa Mahujaji wa Arbaeen

Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu Akagua Huduma Zinazotolewa kwa Mahujaji wa Arbaeen

IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Hija na Ziyara, pamoja na maafisa wengine kadhaa wa Kiirani walioko Karbala, Iraq, wamekagua huduma zinazotolewa kwa wafanyaziyara wa Arbaeen.
23:52 , 2025 Aug 11
Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa India amewahimiza maimamu wa misikiti mbalimbali nchini humo kuandaa dua maalumu na saumu kwa nia ya kuwasaidia Waislamu wa Gaza.
23:47 , 2025 Aug 11
Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

IQNA – Jukwaa la kielimu la Qur’ani kwa ajili ya wasiozungumza Kiarabu linazinduliwa nchini Saudi Arabia.
23:32 , 2025 Aug 11
Siku ya Pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudia

Siku ya Pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudia

IQNA – Siku ya pili ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma kwa Tajwidi na Kufasiri Qur’ani Tukufu ilishuhudia washiriki 17 kutoka pembe mbalimbali za dunia wakisoma mbele ya hadhira katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
23:27 , 2025 Aug 11
Dada Watatu wa Kipalestina wahihifadhi Qur’ani Tukufu Katikati ya Vita, Njaa na Ukimbizi

Dada Watatu wa Kipalestina wahihifadhi Qur’ani Tukufu Katikati ya Vita, Njaa na Ukimbizi

IQNA – Katika Ukanda wa Gaza uliokumbwa na vita, dada watatu wa Kipalestina wamekamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote, licha ya kuvumilia mashambulizi ya kijeshi ya Kizayuni, uhamisho wa kulazimishwa, na njaa kali.
23:21 , 2025 Aug 11
Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

IQNA – Maonyesho ya sanaa yenye maudhui ya Qur’ani yameandaliwa kando ya njia ya Ziyara ya Arbaeen ili kuonesha thamani za harakati ya Imam Hussein (AS) kupitia kazi za sanaa za kuona.
23:53 , 2025 Aug 10
MO Salah wa Liverpool akosoa  msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

MO Salah wa Liverpool akosoa msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

IQNA-Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool, Mohamed Salah amekosoa hatua ya Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA ya kumuenzi Suleiman Al-Obeid, anayejulikana kama "Pele wa Palestina," baada ya bodi inayosimamia soka ya Ulaya kutoelezea mazingira ya kifo chake wiki hii.
23:46 , 2025 Aug 10
Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa matembezi Arbaeen yanabeba kanuni muhimu ambazo zinaweza kusaidia kuweka msingi wa kustawishwa upya kwa ustaarabu wa Kiislamu.
23:39 , 2025 Aug 10
 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

IQNA – Qari bora wa kiume wa Malaysia katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani mwaka huu nchini humo amesema kuwa kujifunza kutoka kwa mashaikh wa qiraa’ah kutoka pembe zote za dunia kumemuwezesha kufikia ushindi huu.
23:32 , 2025 Aug 10
Kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath: Qari wa Mauritania Awasilisha Qiraa

Kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath: Qari wa Mauritania Awasilisha Qiraa

IQNA – Maqari kutoka mataifa mbalimbali wanaendelea kushiriki katika kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath kwa kuwasilisha video za kisomo chao cha maneno ya Mwenyezi Mungu.
08:57 , 2025 Aug 10
Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya  Qur'ani ya Malaysia watangazwa

Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia watangazwa

IQNA – Wawakilishi wawili kutoka Malaysia wametwaa ubingwa katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Malaysia (MTHQA) ya 65, kila mmoja katika kipengele chake husika.
08:45 , 2025 Aug 10
Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia amesema kuwa serikali yake itatenga ufadhili wa ziada kwa Yayasan Restu ili kuwezesha tafsiri ya Qur’ani Tukufu katika lugha nyengine 30, na hivyo kupanua zaidi upeo wa ujumbe wake wa ulimwengu.
20:25 , 2025 Aug 09
Vitisho  vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

Vitisho vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

IQNA – Viongozi wa moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Australia wamesema wamepokea vitisho vya kuuwawa baada ya kutangazwa mpango wa kuweka vipaza sauti vipya kwa ajili ya adhana.
20:16 , 2025 Aug 09
Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI)  katika kutoa Fatwa

Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika kutoa Fatwa

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) haina mamlaka ya kutoa maamuzi ya Kiislamu au fatwa.
20:10 , 2025 Aug 09
1