IQNA

Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

IQNA – Kipindi cha televisheni kiitwacho “Dawlat al Telawah”, ambacho ndicho shindano kubwa zaidi cha vipaji vya usomaji na tartiil ya Qur’ani, kimepangwa kurushwa kupitia vituo vya satelaiti vya Misri.
12:55 , 2025 Nov 13
Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule yameanza mjini Zliten, Libya, Jumanne, tarehe 11 Novemba.
12:47 , 2025 Nov 13
Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

IQNA – Waziri Mkuu wa Iraq, Muhammad Shia Al-Sudani, amesafiri hadi Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, kutembelea makaburi matakatifu  baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge.
12:44 , 2025 Nov 13
Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

IQNA – Sala ya Istisqa (swala ya kuomba mvua) imeswaliwa leo Alhamisi, kufuatia sunnah ya Mtume Muhammad (SAW) ya kuomba rehema ya Mwenyezi Mungu kupitia ibada ya pamoja. Swala hiyo imeswaliwa kufuatia ombi la Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia
12:39 , 2025 Nov 13
Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani kwa watu wenye ulemavu wa macho nchini Kuwait yamefanyika kwa juhudi za Taasis ya Mutamayizin kwa Huduma ya Qur’ani.
12:27 , 2025 Nov 13
Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

IQNA – Bibi Fatima (SA) ni mfano wa subira kuu na mwanga wake unaendelea kung’aa, asema Profesa wa dini kutoka Marekani.
17:54 , 2025 Nov 12
Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

IQNA – Kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Abdul Fattah al‑Sha’sha’i ni ukumbusho wa moja kati ya wasomaji Qur'ani mashuhuri zaidi wa Misri, ambaye unyenyekevu wake na ustadi wa tajwīd ulimpa jina la “Nguzo ya Qiraa ya Qur’ani.”
15:20 , 2025 Nov 12
Picha: Hafla ya Kufunga Tamasha la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Iran

Picha: Hafla ya Kufunga Tamasha la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Iran

IQNA – Hafla ya kufunga Tamasha la 39 la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran ilifanyika Jumapili, tarehe 9 Novemba 2025, katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Azad, tawi la Isfahan.
18:42 , 2025 Nov 11
Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Mifano ya ushirikiano unaojengwa juu ya msingi wa kheri na uchamungu, kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, haijabana tu katika kutoa mali na sadaka kwa masikini na wahitaji. Bali, kama kanuni ya jumla, ushirikiano huu una upeo mpana unaogusa masuala ya kijamii, kisheria, na kimaadili.
18:40 , 2025 Nov 11
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amejibu ripoti ya gazeti la New York Times kuhusu kufukuzwa kwa baadhi ya majenerali wa Marekani kwa kunukuu aya ya Qur’ani Tukufu.
18:27 , 2025 Nov 11
Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

IQNA – Mpango mpya wa kielimu uitwao Furqan umeanzishwa mjini Nouakchott kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi yatima kuboresha uwezo wao wa kuhifadhi na kusoma Qur’ani Tukufu.
18:22 , 2025 Nov 11
Maqari 1,266 Kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani ya Katara Nchini Qatar

Maqari 1,266 Kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani ya Katara Nchini Qatar

IQNA – Taasisi ya Utamaduni ya Katara nchini Qatar imetangaza kuwa toleo la 9 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Katara, litakalofanyika kwa kauli mbiu “Pamba Qur’ani kwa Sauti Zenu”, limepokea jumla ya maombi 1,266.
17:21 , 2025 Nov 11
Taasis ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar Yafungua Matawi 70 Mapya Nchini Misri

Taasis ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar Yafungua Matawi 70 Mapya Nchini Misri

IQNA – Msikiti Mkuu wa Al-Azhar umetangaza uzinduzi wa matawi mapya 70 ya Taasisi ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar katika miji mbalimbali ya Misri.
17:16 , 2025 Nov 11
Zaghloul El-Naggar, Gwiji wa Elimu ya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92

Zaghloul El-Naggar, Gwiji wa Elimu ya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92

IQNA – Mwanasayansi na msomi wa Kiislamu kutoka Misri, Dkt. Zaghloul Ragheb Mohammed El-Naggar, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 92, kwa mujibu wa taarifa ya familia.
14:34 , 2025 Nov 10
Maafisa Wahimiza Ushiriki wa Wadau Wote wa Qur’ani Katika Maonesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Maafisa Wahimiza Ushiriki wa Wadau Wote wa Qur’ani Katika Maonesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA – Naibu wa Qur’ani na Etrat katika Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu mjini Tehran, kwa ushiriki wa wadau wote wa Qur’ani na Etrat.
14:29 , 2025 Nov 10
1