IQNA

Misri yaadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Qari mashuhuri Sheikh Mahmud Ali Al-Banna

Misri yaadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Qari mashuhuri Sheikh Mahmud Ali Al-Banna

IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo chake.
21:15 , 2025 Jul 21
Msomi: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalilenga kuzuia ustawi wa Iran

Msomi: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalilenga kuzuia ustawi wa Iran

IQNA – Profesa Ali Montazeri, Mkuu wa Akademia ya Kitaifa cha Elimu, Utamaduni na Utafiti (ACECR) nchini Iran, amesema kuwa lengo la mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni kuzuia maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia ya taifa hilo.
21:09 , 2025 Jul 21
Ubunifu katika usomaji wa Maqariwa Iran: Mada Kuu ya Mkutano wa 20 wa Wataalamu wa Qur’ani

Ubunifu katika usomaji wa Maqariwa Iran: Mada Kuu ya Mkutano wa 20 wa Wataalamu wa Qur’ani

IQNA – Mkutano wa 20 wa wataalamu wa Qur’ani, makari na wahifadhi wa Iran utafanyika mwezi Novemba mwaka huu chini ya usimamizi wa Baraza Kuu la Qur’ani.
20:58 , 2025 Jul 21
Papa Leo XIV alaani ‘Unyama’ wa Mashambulizi ya Israeli na mzingiro wa Gaza

Papa Leo XIV alaani ‘Unyama’ wa Mashambulizi ya Israeli na mzingiro wa Gaza

IQNA – Papa Leo XIV amelaani vikali vita vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza, akielezea vita hiyo kuwa ya “kinyama” na kukosoa matumizi holela ya nguvu, huku makumi ya Wapalestina wakiripotiwa kuuawa wakiwa kwenye foleni ya msaada wa chakula.
20:42 , 2025 Jul 21
Idhaa ya Qur'ani ya Misri yapokea turathi za utamaduni za Qari ,ashuhuri Ahmed Shabib

Idhaa ya Qur'ani ya Misri yapokea turathi za utamaduni za Qari ,ashuhuri Ahmed Shabib

IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea mali binafsi na vifaa vya kitamaduni vilivyokuwa mali ya Marehemu Sheikh Muhammad Ahmed Shabib.
19:40 , 2025 Jul 21
Mtaalamu wa Lebanon: Iran imezima Mpango wa Marekani na Israel wa “Mashariki ya Kati Mpya”

Mtaalamu wa Lebanon: Iran imezima Mpango wa Marekani na Israel wa “Mashariki ya Kati Mpya”

IQNA – Mtaalamu kutoka chuo kikuu nchini Lebanon amesema kuwa lengo la utawala wa Kizayuni katika vita vya siku 12 dhidi ya lilikuwa kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusukuma mbele mpango wao wa “Mashariki ya Kati Mpya”, lakini muqawama na kusimama kidete Iran kuliuzuia.
20:12 , 2025 Jul 20
Usomaji wa Surah Al-Nasr kwa Sauti ya Qari kutoka Afrika ya Kati

Usomaji wa Surah Al-Nasr kwa Sauti ya Qari kutoka Afrika ya Kati

IQNA- Ibrahim Isa Musa, qari mashuhuri kutoka Afrika ya Kati, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” iliyoandaliwa na shirika la IQNA kwa kusoma Surah Tukufu ya Al-Nasr.
18:57 , 2025 Jul 20
Msikiti Mkuu wa Makka waandaa darasa maalum za Qur’ani kwa wanawake

Msikiti Mkuu wa Makka waandaa darasa maalum za Qur’ani kwa wanawake

IQNA – Kozi maalum ya kiangazi ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani kwa wanawake imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka maarufu kama Masjid al Haram.
18:44 , 2025 Jul 20
Hatua ya awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa Kiislamu Imeanza mtandaoni

Hatua ya awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa Kiislamu Imeanza mtandaoni

IQNA-Hatua ya Awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kiislamu Imeanza kwa Njia ya Mtandao
18:27 , 2025 Jul 20
Baraza la Fatwa la Syria lasisitiza marufuku ya kushirikiana na adui Mzayuni

Baraza la Fatwa la Syria lasisitiza marufuku ya kushirikiana na adui Mzayuni

IQNA – Baraza Kuu la Fatwa la Syria limesema mojawapo ya kanuni zisizopingika za Uislamu ni marufuku ya usaliti na kushirikiana na adui Mzayuni au Muisraeli ambaye ni mwovu na mhalifu.
18:01 , 2025 Jul 19
Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.
17:54 , 2025 Jul 19
Warsha ya kuhifadhi  Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

Warsha ya kuhifadhi Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

IQNA – Warsha ya tatu maalum ya mafunzo kuhusu mbinu mpya za kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza katika Shule ya Zuhair Bin Al-Qain huko Karbala, Iraq.
17:48 , 2025 Jul 19
Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

IQNA – Idara inayosimamia kaburi au Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza usambazaji wa takriban nakala 15,000 za Qur’ani Tukufu na vitabu vya sala kwa ajili ya matumizi ya mamilioni ya waumini wanaotembelea eneo hilo takatifu.
17:38 , 2025 Jul 19
Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi  wakati Hija

Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi wakati Hija

IQNA – Karibu watu milioni mbili waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina wakati wa msimu wa Hija wa mwaka uliopita wa 1446 Hijria.
17:28 , 2025 Jul 19
Picha: Kikao cha Usomaji wa Qur'an Katika Haram ya Shah Cheragh, Shiraz

Picha: Kikao cha Usomaji wa Qur'an Katika Haram ya Shah Cheragh, Shiraz

IQNA – Haram tukufu ya Shah Cheragh (AS) iliyoko katika jiji la Shiraz, kusini mwa Iran, iliandaa kikao cha usomaji wa Qur'an Tukufu jioni ya Jumatatu, tarehe 14 Julai 2025.
18:57 , 2025 Jul 18
1