IQNA

Pigia Kura Kauli Mbiu ya Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Tehran

Pigia Kura Kauli Mbiu ya Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Tehran

IQNA – Kamati ya maandalizi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu mjini Tehran imetoa mwito kwa umma kushiriki katika kuchagua kauli mbiu ya toleo la 33 la tukio hili kubwa la Qur’an.
15:58 , 2026 Jan 07
Wageni Milioni moja watembelea Kiwanda cha Kuchapisha Qur’an Madina Mwaka 2025

Wageni Milioni moja watembelea Kiwanda cha Kuchapisha Qur’an Madina Mwaka 2025

IQNA – Kiwanda cha Mfalme Fahd cha Kuchapisha Qur’an kilichoko mjini Madina, Saudi Arabia, kilipokea wageni wapatao milioni moja kutoka ndani na nje ya nchi mwaka uliopita.
15:53 , 2026 Jan 07
New York yaenzi mchango wa Waislamu katika Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani

New York yaenzi mchango wa Waislamu katika Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani

IQNA – Katika hatua ya kutambua historia na mchango wa Waislamu wake, Jimbo la New York limetangaza mwezi wa Januari kuwa Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani.
15:50 , 2026 Jan 07
Vikao vya Itikafu Katika Haram ya Imam Ridha (AS) Mjini Mashhad, Iran

Vikao vya Itikafu Katika Haram ya Imam Ridha (AS) Mjini Mashhad, Iran

IQNA –Ibada ya Itikafu (kujitenga kwa ajili ya ibada msikitini) katika mwezi wa Rajab kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Qamaria imefanyika kuanzia Jumamosi asubuhi hadi Jumatatu jioni katika misikiti na maeneo matukufu kote Iran.
16:41 , 2026 Jan 06
Kusifiwa kwa Msaada wa Malaysia kwa Wapalestina

Kusifiwa kwa Msaada wa Malaysia kwa Wapalestina

IQNA – Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa amesifu msaada wa Malaysia kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina.
16:37 , 2026 Jan 06
Mjasiriamali wa Jordan azindua mradi wa Qur’ani kwa ajili ya kuunga mkono ndoa

Mjasiriamali wa Jordan azindua mradi wa Qur’ani kwa ajili ya kuunga mkono ndoa

IQNA – Ili kuunga mkono ndoa na familia, mjasiriamali mmoja kutoka Jordan ametangaza kuwa vijana watakaohifadhi juzuu sita za Qur’ani Tukufu watapewa msaada wa kifedha pindi watakapooana.
16:28 , 2026 Jan 06
Thaqalayn Satellite TV kuandaa Mashindano ya 3 ya Kimataifa ya Qur’ani “Wa Rattil”

Thaqalayn Satellite TV kuandaa Mashindano ya 3 ya Kimataifa ya Qur’ani “Wa Rattil”

IQNA – Televisheni ya Thaqalayn Satellite imetangaza mpango wa kuandaa mashindano ya tatu ya kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Wa Rattil” katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
16:23 , 2026 Jan 06
Dawlat al-Tilawa ni Muunganiko wa Simulizi Binafsi na Usomaji wa Qur’ani

Dawlat al-Tilawa ni Muunganiko wa Simulizi Binafsi na Usomaji wa Qur’ani

IQNA – Kipindi cha 12 cha mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Dawlat al-Tilawa nchini Misri kiligeuka safari ya kiroho na kihisia, ambapo simulizi binafsi ziliungana na sauti za mbinguni, zikazalisha athari ya kina iliyogusa nyoyo za kila msikilizaji.
16:13 , 2026 Jan 06
Mjadala wa Yemen Kuhusu Njia za Kukabiliana na Udhalilishaji wa Qur’ani

Mjadala wa Yemen Kuhusu Njia za Kukabiliana na Udhalilishaji wa Qur’ani

IQNA – Mjadala maalum kuhusu “Wajibu wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na udhalilishaji wa Qur’ani na matukufu mengine na maadui” umefanyika mjini Sanaa, mji mkuu wa Yemen.
15:54 , 2026 Jan 06
Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yafanyika Japan

Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yafanyika Japan

IQNA – Toleo la 26 la Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani nchini Japan limefanyika chini ya usimamizi wa Jumuiya ya Waislamu wa Japan.
22:01 , 2026 Jan 05
Mashindano ya Qur’ani kwa Wanafunzi Yazinduliwa Yemen

Mashindano ya Qur’ani kwa Wanafunzi Yazinduliwa Yemen

IQNA – Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka shule za serikali na binafsi yameanza Jumapili katika Mkoa wa Hodeidah, Yemen.
21:52 , 2026 Jan 05
Mwanamke Mmarekani asilimu mbele ya Qari wa Misri

Mwanamke Mmarekani asilimu mbele ya Qari wa Misri

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri wa Misri, amechapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa Facebook video inayoonyesha mwanamke Mmarekani akisilimu katika moja ya misikiti nchini Marekani.
21:44 , 2026 Jan 05
Safdari miongoni mwa Maqari wa Iran waliofuzu Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Qatar

Safdari miongoni mwa Maqari wa Iran waliofuzu Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Qatar

IQNA – Reza Safdari, qari mashuhuri kutoka mkoa wa Sistan na Baluchestan, kusini mashariki mwa Iran, amejiunga na kundi la wanaofuzu kuingia fainali za mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini Qatar.
21:27 , 2026 Jan 05
Taarifa ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon kuhusu jinai ya Marekani nchini Venezuela

Taarifa ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon kuhusu jinai ya Marekani nchini Venezuela

IQNA – Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon imesisitiza katika taarifa yake kwamba watu wa Venezuela, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, watazima njama ya Marekani. Wameongeza kuwa mataifa huru na yenye mamlaka yao yanapaswa kusimama pamoja kukabiliana na dhulma na jinai za Marekani na kuunda ushirikiano wa kimkakati.
21:03 , 2026 Jan 05
Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Paris asema mwaka 2025 ulikuwa mgumu zaidi kwa Waislamu Ufaransa

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Paris asema mwaka 2025 ulikuwa mgumu zaidi kwa Waislamu Ufaransa

IQNA – Sheikh Chems-Eddine Hafiz, mlezi wa Msikiti Mkuu wa Paris, amesema mwaka 2025 ulikuwa miongoni mwa miaka migumu zaidi kwa Waislamu nchini Ufaransa, ukitawaliwa na matukio ya vurugu yaliyofikia kiwango cha “kuuawa kwa misingi ya dini.”
14:51 , 2026 Jan 04
7