IQNA

Kiongozi Muadhamu:: Kujitokeza wananchi katika maandamano ya kitaifa Iran kumevuruga njama za maadui

Kiongozi Muadhamu:: Kujitokeza wananchi katika maandamano ya kitaifa Iran kumevuruga njama za maadui

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, amepongeza maandamano ya kitaifa yaliyoonyesha uungaji mkono kwa Jamhuri ya Kiislamu, akisema wingi wa wananchi waliojitokeza “umeandika historia” na kuvuruga njama za maadui waliolenga kuibua misukosuko kupitia vibaraka wao wa ndani.
08:15 , 2026 Jan 13
Malengo ya Israel dhidi ya Iran hayatatimia, asema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki

Malengo ya Israel dhidi ya Iran hayatatimia, asema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki

IQNA – Akizungumzia machafuko yanayodaiwa kuungwa mkono na Israel katika miji ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki alisema kuwa malengo ya utawala wa Israel ndani ya Iran hayatoweza kutimia. Hakan Fidan amesisitiza kuwa utawala wa Tel Aviv hautafanikiwa katika njama zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
15:00 , 2026 Jan 12
Jumuiya ya Qur’ani ya Iran yataka adhabu kali kwa magaidi waibua  vurugu

Jumuiya ya Qur’ani ya Iran yataka adhabu kali kwa magaidi waibua vurugu

IQNA – Jumuiya ya Qur’ani ya Iran imelaani vikali machafuko mabaya yaliyotokea hivi karibuni nchini. Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu, jumuiya hiyo iliwashukuru vikosi vya ulinzi na usalama kwa juhudi zao za kurejesha utulivu na amani katika jamii.
14:49 , 2026 Jan 12
Siku tatu za maombolezo ya kitaifa Iran kwa ajili ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na Marekani, Israel

Siku tatu za maombolezo ya kitaifa Iran kwa ajili ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na Marekani, Israel

IQNA-Serikali ya Iran imetangaza siku tatu za maombolezo kwa ajili ya kuwakumbuka waathiriwa, wakiwemo askari wa vikosi vya usalama na wa jeshi la kujitolea, ambao wameuliwa shahidi na magaidi wafanyaji fujo na vurugu wanaoungwa mkono na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel, waliojaribu kuteka nyara maandamano ya amani ya wananchi ya kulalamikia hali ya uchumi nchini.
14:40 , 2026 Jan 12
Kwa jina la Qur’ani Tukufu; simulizi ya Kongamano la Pili la Siku ya Kimataifa ya Qur’ani huko Qom

Kwa jina la Qur’ani Tukufu; simulizi ya Kongamano la Pili la Siku ya Kimataifa ya Qur’ani huko Qom

IQNA-Kongamano la pili la Siku ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu limefanyika Jumapili 11 Februari jijini Qum, Iran, sambamba na kukaribia tarehe 27 Rajab ambayo inatambuliwa kama Siku ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ukumbi wa Bibi Fatima al‑Ma‘suma (SA.)
14:31 , 2026 Jan 12
Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Kuhusu Somalia

Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Kuhusu Somalia

IQNA- Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kilichojadili suala la Somalia na hatua ya utawala wa Kizayuni ya kulitambua eneo la nchi hiyo la Somaliland, kama nchi huru kimefanyika katika makao makuu ya jumuiya hiyo mjini Jeddah, Saudi Arabia.
11:03 , 2026 Jan 11
Kifaa Kipya cha eBraille kurahisisha masomo ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho

Kifaa Kipya cha eBraille kurahisisha masomo ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho

IQNA – Kifaa kipya cha kielektroniki cha eBraille kilichotengenezwa nchini Malaysia kimeleta mageuzi makubwa katika kujifunza Qur'ani Tukufu kwa watu wenye uoni hafifu, au ulemavu wa macho kwa kuwapa uwezo wa kupata maandiko ya dini moja kwa moja kwa njia ambayo haijawahi kupatikana hapo awali, sambamba na kufungua fursa katika nyanja nyingine za elimu.
10:51 , 2026 Jan 11
Waandamanaji waungaji mkono Palestina wachoma bendera za Israel nchini Morocco

Waandamanaji waungaji mkono Palestina wachoma bendera za Israel nchini Morocco

IQNA – Maelfu ya waandamanaji walijitokeza Ijumaa katika mji mkuu wa Morocco kupinga hatua ya nchi hiyo ya kuendeleza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
10:39 , 2026 Jan 11
Mufti Mkuu wa Lebanon aangazia uhusiano wa kindugu kati ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

Mufti Mkuu wa Lebanon aangazia uhusiano wa kindugu kati ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

IQNA – Mufti Mkuu wa Lebanon, Sheikh Abdul Latif Darian, amesema kuwa uhusiano kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni nchini humo ni wa kindugu na wa kuheshimiana.
10:27 , 2026 Jan 11
Rais wa Iran: Marekani, Israel zinalenga kuzuia Umoja wa nchi za Kiislamu

Rais wa Iran: Marekani, Israel zinalenga kuzuia Umoja wa nchi za Kiislamu

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba wakuu Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wanafanya kila wawezalo kuzuia kuundwa kwa umoja miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.
10:19 , 2026 Jan 11
Ayatullah Khamenei: Iran haitalegeza msimamo na itakabiliana na magenge ya wahalifu

Ayatullah Khamenei: Iran haitalegeza msimamo na itakabiliana na magenge ya wahalifu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kundi la watu waharibifu Alhamisi usiku mjini Tehran waliharibu mali za umma na za wananchi kwa ajili ya kumfurahisha rais wa Marekani huku akisisitiza kuwa Iran haitalegeza msimamo katika kukabiliana na magenge ya wahalifu.
10:33 , 2026 Jan 10
Msimu Mpya wa Mashindano ya Qur'ani ya “Dawlat al-Tilawa” Misri kuanza Novemba

Msimu Mpya wa Mashindano ya Qur'ani ya “Dawlat al-Tilawa” Misri kuanza Novemba

IQNA – Msimamizi mkuu wa mashindano ya vipaji vya Qur’ani nchini Misri, maarufu kwa jina “Dawlat al-Tilawa”, ametangaza kuwa msimu mpya wa kipindi hicho kitaanza rasmi Novemba 2026.
11:53 , 2026 Jan 08
Kampeni ya Kihabari kwa ajili ya kuwakomboa wafungwa wa Kipalestina waliotekwa Israel

Kampeni ya Kihabari kwa ajili ya kuwakomboa wafungwa wa Kipalestina waliotekwa Israel

IQNA – Wapigania haki za Wapalestina wamezindua kampeni mahsusi ya vyombo vya habari yenye lengo la kuwakomboa wafungwa walioko katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel, wakisisitiza kuwa mshikamano wa kimataifa na uelewa mpana ndiyo nguzo kuu ya kufanikisha uhuru wao.
11:47 , 2026 Jan 08
Mwana wa Abdul Basit asifu uzinduzi wa Jumba la Makumbusho la Maqari wa Qur’an nchini Misri

Mwana wa Abdul Basit asifu uzinduzi wa Jumba la Makumbusho la Maqari wa Qur’an nchini Misri

IQNA – Mwana wa qari maarufu wa Misri aliyefariki, Abdul Basit Abdul Samad, amepongeza kuanzishwa kwa Jumba la Makumbusho la Waqari wa Qur’an nchini humo.
10:29 , 2026 Jan 08
Msikiti Humpa Mtu Utulivu Mkubwa: Winga wa Barcelona Lamine Yamal

Msikiti Humpa Mtu Utulivu Mkubwa: Winga wa Barcelona Lamine Yamal

IQNA – Winga chipukizi wa Klabu ya Soka ya Barcelona na Hispania, Lamine Yamal, amesema kutembelea msikiti humpa mtu utulivu wa kipekee bila kujali dini anayofuata.
10:23 , 2026 Jan 08
6