IQNA

Tukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

Tukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

IQNA-Jumamosi tarehe 27 Rajab 1447 Hijria sawa na Januari 17 mwaka 2026 Miladia inasadifiana na siku ya Kubaathiwa Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu na ya kipekee katika Uislamu.
07:54 , 2026 Jan 17
Rais Pezeshkian asema Marekani na Israel zimehusika moja kwa moja katika machafuko Iran

Rais Pezeshkian asema Marekani na Israel zimehusika moja kwa moja katika machafuko Iran

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuhusika moja kwa moja Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya nchi za Ulaya katika matukio ya hivi karibuni ya Iran hakukanushiki.
07:46 , 2026 Jan 17
Kiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

Kiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amewapongeza wananchi wa Iran kwa namna walivyokabiliana na njama zilizopangwa na Marekani pamoja na Israel.
07:42 , 2026 Jan 17
Israel kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu kufikia Msikiti wa Al-Aqsa Mwezi wa Ramadhani

Israel kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu kufikia Msikiti wa Al-Aqsa Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Utawala ghasibu wa Israel umetangaza mipango ya kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu wanaotaka kufika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem0, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
15:29 , 2026 Jan 15
Msikiti wa Imam Mahdi, Katika Mji wa Sihat, Saudi Arabia

Msikiti wa Imam Mahdi, Katika Mji wa Sihat, Saudi Arabia

IQNA-Msikiti wa Imam Mahdi (AS) uliopo Sihat, katika Mkoa wa Mashariki wa Saudi Arabia, ulijengwa takribani miaka 132 iliyopita, na hivyo kuwa miongoni mwa nyumba kongwe za ibada katika eneo hilo.
15:07 , 2026 Jan 15
Jeshi la IRGC liko tayari kuvunja njama za Marekani na Israel dhidi ya Iran

Jeshi la IRGC liko tayari kuvunja njama za Marekani na Israel dhidi ya Iran

IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amezionya Marekani, Israel na mamluki wao wenye mienendo ya kigaidi kama ile ya Daesh kwamba kosa lolote la kimahesabu litakabiliwa na majibu makali na ya kuangamiza.
14:22 , 2026 Jan 15
Mamilioni ya Wairani katika maandamano ya kitaifa kulaani fujo za kigaidi zilizoungwa mkono na Marekani, Israel

Mamilioni ya Wairani katika maandamano ya kitaifa kulaani fujo za kigaidi zilizoungwa mkono na Marekani, Israel

IQNA-Mamilioni ya wananchi nchini Iran waliandamana Jumatatu kulaani ghasia za hivi karibuni zilizochochewa na makundi ya kigaidi yanayodaiwa kuungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni.
14:07 , 2026 Jan 15
Mazishi ya mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi jijini Tehran na kote Iran

Mazishi ya mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi jijini Tehran na kote Iran

IQNA-Mamilioni ya watu wa Iran siku ya Jumatano wamejitokeza katika mazishi na shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran.
14:01 , 2026 Jan 15
Seneta wa Marekani aonya kuhusu kushadidi Chuki dhidi ya Uislamu kabla ya Mwezi wa Ramadhani

Seneta wa Marekani aonya kuhusu kushadidi Chuki dhidi ya Uislamu kabla ya Mwezi wa Ramadhani

QNA – Mwanasiasa mmoja wa Marekani ameonya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Magharibi wakati mwezi mtukufu wa Ramadhani unakaribia.
17:32 , 2026 Jan 14
Hamas yaonya kuhusu kuzorota kwa hali ya kibinadamu Gaza

Hamas yaonya kuhusu kuzorota kwa hali ya kibinadamu Gaza

IQNA: Baada ya kufariki kwa idadi ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza kutokana na baridi kali, Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombzoi wa Palestina, Hamas, imeonya kuhusu kuzidi kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika eneo hilo ambalo liko chini ya mzingiro wa utawala katili wa Israel.
17:22 , 2026 Jan 14
Msomi: Ni Muhimu kutumia fursa ya Maonyesho ya Qur’ani kutambulisha neno la Wahyi duniani

Msomi: Ni Muhimu kutumia fursa ya Maonyesho ya Qur’ani kutambulisha neno la Wahyi duniani

IQNA – Afisa na msomi mmoja wa masuala ya Qur’ani Tukufu nchini Iran amesisitiza umuhimu wa kutumia uwezo na nafasi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran yanayokuja ili kulitambulisha neno la Wahyi kwa watu wa ulimwengu.
15:42 , 2026 Jan 14
Adui anatambua dhamira ya Qur’ani ya kujenga ustaarabu

Adui anatambua dhamira ya Qur’ani ya kujenga ustaarabu

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani amesema kuwa Qur’ani Tukufu imetangaza wazi kuwa jukumu lake ni kuanzisha ustaarabu mpya, na adui analijua hilo.
15:36 , 2026 Jan 14
Mradi wa Tafsiri wa Al-Azhar Walenga Kusambaza Ujumbe wa Qur’ani Tukufu

Mradi wa Tafsiri wa Al-Azhar Walenga Kusambaza Ujumbe wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Kitivo cha Lugha cha Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri kinaendeleza mradi mahsusi wa tafsiri na tarjuma unaolenga kuufikisha ujumbe wa Qur’ani Tukufu kwa mataifa mbalimbali duniani.
10:48 , 2026 Jan 13
Jinai za Israel zaendelea,  Wapalestina 21 wapoteza maisha katika baridi kali Gaza

Jinai za Israel zaendelea, Wapalestina 21 wapoteza maisha katika baridi kali Gaza

IQNA – Tangu kuanza kwa vita vya kikatili vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, angalau Wapalestina 21 wamefariki katika eneo hilo kutokana na baridi kali na ukosefu wa vifaa vya kujihifadhi na kupashia joto, hali ambayo imesababisha na hatua ya Israel kuzuia misaada kufika eneo hilo.
10:30 , 2026 Jan 13
Mamilioni ya Wairani Waungana Kulaani Ugaidi wa Kizayuni na Kimarekani

Mamilioni ya Wairani Waungana Kulaani Ugaidi wa Kizayuni na Kimarekani

IQNA – Mamilioni ya wananchi nchini Iran waliandamana Jumatatu kulaani ghasia za hivi karibuni zilizochochewa na makundi ya kigaidi yanayodaiwa kuungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni.
10:04 , 2026 Jan 13
5