IQNA

Makumbusho ya Waislamu wa Kitatar kuzinduliwa nchini Poland

Makumbusho ya Waislamu wa Kitatar kuzinduliwa nchini Poland

IQNA – Makumbusho yaliyojitolea kuhifadhi historia na utamaduni wa Waislamu wa Kitatar yanatarajiwa kuzinduliwa nchini Poland.
15:07 , 2026 Aug 11
Rais wa IUMS aangazia maisha ya Qur’ani ya mwanazuoni wa Algeria, Sheikh Mohamed Said Kaabash

Rais wa IUMS aangazia maisha ya Qur’ani ya mwanazuoni wa Algeria, Sheikh Mohamed Said Kaabash

IQNA – Rais wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) ametoa rambirambi zake kwa watu wa Algeria na Ummah ya Kiislamu kufuatia kuaga dunia kwa mwanazuoni mkuu wa Qur’ani, Sheikh Mohamed Said Kaabash.
15:20 , 2026 Aug 10
Makumbusho ya Makka yanaonesha Mushaf wa karne ya 18

Makumbusho ya Makka yanaonesha Mushaf wa karne ya 18

IQNA – Nakala ya Qur’ani ya karne ya 18 ni miongoni mwa vitu vinavyoonyeshwa katika Makumbusho ya Qur’ani Tukufu ndani ya Eneo la Utamaduni la Hira huko Makka, Saudia.
15:12 , 2026 Aug 10
Qari kijana nchini Misri ana ndoto ya  kuwa Abdul Basit mwingine

Qari kijana nchini Misri ana ndoto ya kuwa Abdul Basit mwingine

IQNA – Yousef, kijana kutoka Bahira nchini Misri, amewavutia wengi kwa sauti yake ya usomaji Qur’ani Tukufu na ameendeleza kipawa chake kwa kusikiliza qiraa za maqari mashuhuri kupitia mtandao. Anaota ndoto siku moja kuwa miongoni mwa majina makubwa katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani na kufuata nyayo za Sheikh Abdul Basit Abdul Samad.
15:07 , 2026 Aug 10
Ushindi wa Imani: Kijana Hafidh mwenye ulemavu wa macho kutoka Bangladesh katika Mashindano ya Qur’ani Makka

Ushindi wa Imani: Kijana Hafidh mwenye ulemavu wa macho kutoka Bangladesh katika Mashindano ya Qur’ani Makka

IQNA – Katika kile kinachothibitisha kuwa nuru ya Qur’ani Tukufu haina mipaka, Mahmoud Hassan Ashrafi, kijana mwenye umri wa miaka 18 kutoka Bangladesh ambaye ana ulemavu wa macho na hivyo haoni, anashiriki katika hatua ya fainali ya Mashindano ya 46 ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu huko Makka, Saudia.
15:01 , 2026 Aug 10
Toleo la Tatu la Programu ya ‘Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti’ Sharjah

Toleo la Tatu la Programu ya ‘Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti’ Sharjah

IQNA – Toleo la tatu la programu ya “Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti” (Hearts Attached to Mosques) limepangwa kuzinduliwa huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
14:53 , 2026 Aug 10
Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil

Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil

IQNA – Kupokea vijana Waislamu na kuwapatia programu za kidini na Qur’ani huifanya misikiti nchini Brazil kuimarisha hali yao ya kiroho, huku pia ikilea kizazi kipya kilichounganishwa na Qur’an na Sunna ya Mtume SAW.
16:16 , 2026 Aug 09
Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa harakati ya Imam Hussein (AS) si tukio la kihistoria na kidini tu, bali ni madrasa ya maisha na nyaraka ya msingi ya kusimama dhidi ya dhulma, upotovu na ufisadi.
16:10 , 2026 Aug 09
Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini

Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini

IQNA – Wakili anayewakilisha msikiti mmoja nchini Ufaransa amekosoa vikali uamuzi wa kuufunga kwa miezi sita, akisema hatua hiyo ni pigo kwa uhuru wa dini na hata kwa dhana ya usekula inayodaiwa kulindwa nchini humo.
16:02 , 2026 Aug 09
Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka

Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka

IQNA – Kumbi za mashindano jijini Makka zilisikika zikirindima kwa sauti za kuvutia za usomaji wa aya tukufu za Qur’an siku ya Jumamosi, huku washiriki 33 wa kwanza wakijitokeza mbele ya jopo la majaji.
15:53 , 2026 Aug 09
Tanbihi | Msifanye Khiyana

Tanbihi | Msifanye Khiyana

IQNA-Qur’ani Tukufu, kitabu cha mwongozo na mwamko wa mwanadamu, katika aya zake inawasilisha ujumbe ulio wazi na wenye kutoa mwanga kwa nyakati zote na kwa wanadamu wote; jumbe hizi zinajumuisha kila kitu kuanzia utunzaji wa imani na maadili ya mtu binafsi, hadi kusimama imara katika dhiki, kuwa na matumaini kwa rehema za Mwenyezi Mungu, uwajibikaji katika jamii, kuepuka kughafilika, na kusonga mbele katika njia ya haki. Mfululizo huu wa “Ujumbe wa Wahyi,” kwa kuchagua aya zenye mada maalum, unajitahidi kujenga daraja dhahiri kati ya dhana kuu za wahyi na maisha ya sasa ya wasomaji, huku ukiweka kila aya mbele ya msomaji kama ujumbe wenye kuhamasisha, wenye kutoa nafasi ya kutafakari, na wenye manufaa ya kiutendaji.
15:44 , 2026 Aug 09
Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3

Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3

IQNA – Waislamu ishirini na tano waliuawa nchini India kati ya Mei na Julai 2026, ambapo vifo 15 vilihusishwa na wahusika wa dola na vifo 10 na wahusika wasiokuwa wa dola kutoka makundi yenye msimamo mkali wa Kihindu.
17:41 , 2026 Aug 08
Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq

Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq

IQNA – Kituo cha Dar-ol-Quran cha Atabat au Mfawidhi wa haram takatifu ya Imam Hussein (AS) kimekamilisha mradi wa vituo vya Qur’ani kwa ajili ya matembezi ya Arbaeen.
17:36 , 2026 Aug 08
Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala

Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala

IQNA – Toleo la 10 la Kongamano la Kimataifa la Kitaalamu kuhusu Ziyara ya Arbaeen limeandaliwa katika Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) iliyoko mjini Karbala, Iraq, siku ya Ijumaa.
17:28 , 2026 Aug 08
Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan

Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan

IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Juu la Kisiasa la Yemen amerejelea mkataba wa ulinzi wa pamoja kati ya Pakistan, Uturuki, na Saudi Arabia, akisema kuwa makubaliano ya namna hiyo hayana athari yoyote kwa hali ya mambo nchini Yemen, kwani mlinganyo wa “mzingiro dhidi ya mzingiro” utaendelea kubaki pale pale hadi malengo yake yatakapofikiwa.
17:14 , 2026 Aug 08
3 4 5 6