IQNA

Hujjatul Islam Shahriari asisitiza umuhimu wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu

Hujjatul Islam Shahriari asisitiza umuhimu wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu (WFPIST) amesisitiza haja ya kuimarisha umoja na kudumisha umakini wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu suala la Palestina.
15:33 , 2026 Jan 20
Israel imeua zaidi wafanyakazi 1,300 wa sekta ya elimu katika mauaji ya kimbari Gaza

Israel imeua zaidi wafanyakazi 1,300 wa sekta ya elimu katika mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Ripoti ya pamoja ya Wizara ya Elimu na Elimu ya Juu ya Palestina imeripoti kuwa, kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2025, walimu wasipungua 1,377 na wafanyakazi wa elimu waliuawa shahidi na 4,757 wamejeruhiwa katika mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel huko Gaza.
15:09 , 2026 Jan 20
Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu Tehran Kufanyika Februari 20

Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu Tehran Kufanyika Februari 20

IQNA – Toleo la 33 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu mjini Tehran linatarajiwa kuzinduliwa katika mji mkuu wa Iran tarehe 20 Februari 2026, kwa mujibu wa taarifa ya afisa mwandamizi.
14:54 , 2026 Jan 20
Taarifa ya Ofisi ya Imam Khamenei: Jumatano ni siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban

Taarifa ya Ofisi ya Imam Khamenei: Jumatano ni siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban

IQNA – Siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban katika kalenda ya Hijria Qamaria ya mwaka 1447 inatarajiwa kuwa Jumatano.
14:00 , 2026 Jan 20
Waislamu Malaysia waunga mkono mitazamo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Waislamu Malaysia waunga mkono mitazamo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Baraza la Mashauriano la Mashirika ya Kiislamu Malaysia (MAPIM) limetoa tamko likieleza kuunga mkono msimamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu kumweka rais wa Marekani kuwa na dhima juu ya vifo na uharibifu uliotokana na machafuko ya hivi karibuni nchini Iran.
14:05 , 2026 Jan 19
Toleo jipya la tarjuma ya Qur'ani kwa lugha ya Kirusi

Toleo jipya la tarjuma ya Qur'ani kwa lugha ya Kirusi

IQNA – Toleo jipya la tarjuma ya Qurani Tukufu kwa lugha ya Kirusi limechapishwa. Haya yalitangazwa na Mufti wa Urusi, Sheikh Nafiullah Ashirov, ambaye alisema kuwa mwanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Suleiman Muhammedov ndiye aliyefanya kazi ya tarjuma hiyo. Alibainisha kuwa Muhammedov ameyatumia miaka mingi ya maisha yake katika kuhudumia masuala ya Uislamu, kama ilivyoripoti tovuti ya Muslims Around the World.
13:55 , 2026 Jan 19
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Apongeza Iraq kwa Kuwapokea Wafanyaziara wa Arbaeen

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Apongeza Iraq kwa Kuwapokea Wafanyaziara wa Arbaeen

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameisifu Iraq kwa kuwapokea mahujaji wa Kiirani wanaosafiri kuelekea nchi hiyo ya Kiarabu.
13:50 , 2026 Jan 19
Sisistizo kuhusu kuandaa mipango ya Qur'ani kwa ajili ya mwezi wa Ramadhani

Sisistizo kuhusu kuandaa mipango ya Qur'ani kwa ajili ya mwezi wa Ramadhani

IQNA – Ghasia za hivi karibuni pamoja na matukio ya kigaidi zimeifanya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuahirishwa, mtaalamu mkongwe wa masuala ya Qurani amebainisha.
13:44 , 2026 Jan 19
Mikutano ya Wanaompenda Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu

Mikutano ya Wanaompenda Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu

IQNA –Tarehe 27 ya mwezi wa Rajab katika kalenda ya Hijria Qamaria (17 Januari 2026), ilikuwa siku tukufu ya Maba’ath, siku ambayo Muhammad (SAW) aliteuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa Mtume Wake wa mwisho.
14:11 , 2026 Jan 18
Kituo cha Kiislamu cha Birmingham chashambuliwa

Kituo cha Kiislamu cha Birmingham chashambuliwa

IQNA – Kundi la waharibifu limevamia Kituo cha Kiislamu cha Imam Ridha (AS) mjini Birmingham, Uingereza, katika tukio lililoibua maswali kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu na Iran katika nchi za Magharibi.
13:44 , 2026 Jan 18
Maonyesho ya “Shahidi wa Qur’ani” yafanyika Yemen

Maonyesho ya “Shahidi wa Qur’ani” yafanyika Yemen

IQNA – Maonyesho yenye kichwa “Shahidi wa Qur’ani” yameandaliwa katika mkoa wa al-Hudaydah, Yemen, yakitoa heshima kwa Sayyid Hussein Badreddin al-Houthi, ambaye nchini humo anajulikana kama shahidi wa Qur’ani.
13:10 , 2026 Jan 18
Wanazuoni wa Kishia na Kisunni  wapongezwa kwa kuunga mkono Uongozi wa Kiislamu Iran

Wanazuoni wa Kishia na Kisunni  wapongezwa kwa kuunga mkono Uongozi wa Kiislamu Iran

IQNA – Jukwaa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Duniani, (WFPIST) limepongeza msimamo wa kuunga mkono uliotolewa na wanazuoni na wasomi wa Kishia na Kisunni kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia machafuko ya hivi karibuni.
10:33 , 2026 Jan 18
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja

Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema Iran inamtambua Rais wa Marekani, Donald Trump, kama mhusika mkuu wa mauaji na uharibifu katika ghasia za hivi karibuni hapa nchini.
10:11 , 2026 Jan 18
Iran yalaani kundi la G7 kwa kuunga mkono magaidi  walioibua fujo nchini

Iran yalaani kundi la G7 kwa kuunga mkono magaidi walioibua fujo nchini

Wizara ya Mambo ya Nje imelaani vikali tamko la hivi karibuni la kuingilia mambo ya ndani ya Iran lililotolewa na Kundi la Nchi Saba (G7), ikilishutumu kundi hilo la kiserikali linaloongozwa na Marekani kwa kuingilia masuala ya Iran na kwa mtazamo wa kinafiki kuhusu haki za binadamu.
11:08 , 2026 Jan 17
Wanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

Wanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

IQNA-Wanazuoni na wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu, katika taarifa yao, wameonyesha kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khamenei, kufuatia machafuko ya hivi karibuni nchini, huku wakitoa tamko linalomtaja rais Trump wa Marekani kama mtu “muhrib”
10:52 , 2026 Jan 17
4