IQNA

Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiiraqi ya Asaib Ahl Al-Haq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesisitiza kuwa kulinda na kuendeleza Hashd al-Sha’abi (Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi– PMU) ni takwa la watu wote wa Iraq.
12:45 , 2025 Sep 01
Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya Wanafunzi waenziwa nchini Iraq

Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya Wanafunzi waenziwa nchini Iraq

IQNA – Mashindano ya Qur’ani yalifanyika kwa ajili ya wanafunzi mahiri waliokuwa wakihudhuria kozi za Qur’ani za majira ya kiangazi zilizoandaliwa na Jumuiya ya Kisayansi ya Qur’ani Tukufu chini ya usimamizi wa Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Abul-Fadhlil Abbas (AS).
12:34 , 2025 Sep 01
Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
17:44 , 2025 Aug 31
Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

IQNA – Ingawa Maktaba ya Vatican ni maktaba ya Kikristo, urithi wa Kiislamu unachukua nafasi maalum ndani yake na Misahafu (nakala za Qur'ani) inahifadhiwa katika maktaba hii.
17:37 , 2025 Aug 31
Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen

Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya kijeshi iliyofanywa na Israel dhidi ya Yemen, ambayo imesababisha kuuawa kwa shahidi Waziri Mkuu wa Yemen na mawaziri kadhaa wa serikali ya mapinduzi ya nchi hiyo.
12:39 , 2025 Aug 31
Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

IQNA – Karibu wamilioni 53 za ziara zilirekodiwa katika Msikiti Mkuu wa Makkah na Msikiti wa Mtume huko Madina katika mwezi mmoja uliopita wa Hijria Qamaria.
11:51 , 2025 Aug 31
Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Juhudi za kuunda Bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu zinalenga kuunda jukwaa la kutatua matatizo ya Waislamu kwa kutumia misingi ya Qur'ani, amesema msomi mmoja nchini Iran.
11:39 , 2025 Aug 31
Wayemen waandamana kulaani uchomaji wa nakala ya Qur’ani Marekani na ukatili wa Israeli Gaza

Wayemen waandamana kulaani uchomaji wa nakala ya Qur’ani Marekani na ukatili wa Israeli Gaza

IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina na kitendo cha hivi karibuni cha kuchomwa motot nakala ya Qur’an Tukufu nchini Marekani.
17:25 , 2025 Aug 30
Ujumbe wa Iran watembelea Malaysia kuimarisha uhusiano wa kidini, kielimu na kitamaduni

Ujumbe wa Iran watembelea Malaysia kuimarisha uhusiano wa kidini, kielimu na kitamaduni

IQNA-Ujumbe wa viongozi wa kidini kutoka Iran, wakiongozwa na Ayatullah Alireza Arafi na Ayatullah Ahmad Mobaleghi, umefanya ziara ya siku tatu nchini Malaysia kwa lengo la kuimarisha mahusiano ya muda mrefu ya kielimu na kidini kati ya mataifa hayo mawili.
17:11 , 2025 Aug 30
Misikiti 1,600 ya Tatarstan yaandaa sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

Misikiti 1,600 ya Tatarstan yaandaa sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu katika Jamhuri ya Tatarstan katika Shirikisho la Urusi (Russia) imetangaza kuandaliwa kwa mfululizo wa sherehe adhimu na shughuli za kidini na kitamaduni kwa ajili ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (SAW).
17:06 , 2025 Aug 30
Polisi  huko Mississauga, Kanada wachunguza kitendo cha hujuma dhidi ya Msikiti

Polisi huko Mississauga, Kanada wachunguza kitendo cha hujuma dhidi ya Msikiti

IQNA – Uchunguzi unaendelea mjini Mississauga, Kanada baada ya mtu mmoja kuharibu msikiti mapema mwezi huu, huku polisi wakisema ni mapema mno kusema iwapo tukio hilo lilichochewa na chuki.
17:00 , 2025 Aug 30
Wairani milioni tano wanasubiri zamu kwa ajili ya safari ya Umrah

Wairani milioni tano wanasubiri zamu kwa ajili ya safari ya Umrah

IQNA – Zaidi ya Wairani milioni tano wanasubiri kwa hamu nafasi yao ya kwenda kufanya ibada ya Umrah, afisa mmoja amesema.
16:48 , 2025 Aug 30
Kituo cha Qur'ani Iran chalaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Marekani

Kituo cha Qur'ani Iran chalaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Marekani

IQNA – Hujjatul-Islam Ali Taghizadeh, mkuu wa Taasisi ya Dar-ul-Quran ya Iran, amelaani vikali kitendo cha kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu kilichofanywa na mgombea wa bunge la Marekani, Valentina Gomez, akikitaja kama “uhalifu wa kuchukiza” unaofichua sura halisi ya chuki dhidi ya Uislamu.
11:43 , 2025 Aug 29
Makumbusho ya Kiislamu ya Al-Aqsa Yahifadhi Nakala Adimu za Qur'an za Karne Nyingi

Makumbusho ya Kiislamu ya Al-Aqsa Yahifadhi Nakala Adimu za Qur'an za Karne Nyingi

IQNA – Makumbusho ya Kiislamu ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa yanahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa nakala nadra za kihistoria za Qur'an Tukufu, kuanzia enzi za Umawiyah hadi Uthmaniyah.
11:35 , 2025 Aug 29
Agosti 30, Siku ya Kimataifa ya Khitimisha Qur'ani Tukufu

Agosti 30, Siku ya Kimataifa ya Khitimisha Qur'ani Tukufu

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza kuwa Siku ya Pili ya Kimataifa ya Khatm (Kuhitimisha) Qur'ani Tukufu itaadhimishwa siku ya Jumamosi, tarehe 30 Agosti.
11:21 , 2025 Aug 29
2