IQNA

Pep Guardiola ataka haki, aangazia maumivu ya Wapalestina

Pep Guardiola ataka haki, aangazia maumivu ya Wapalestina

IQNA – Pep Guardiola kocha wa timu ya Ligi Kuu ya Soka Uingereza (EPL), Manchester City, ameeleza hadharani uungaji mkono wake kwa wananchi wa Palestina, akielekeza macho ya ulimwengu kwenye janga kubwa la kibinadamu linaloikumba Gaza, wakati wa tukio la hadhara lililofanyika hivi karibuni.
15:53 , 2026 Jan 30
Akiwa gerezani, mfungwa ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu

Akiwa gerezani, mfungwa ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu

IQNA – Mfungwa mmoja katika mkoa wa Balıkesir, nchini Uturuki, amefikia daraja ya Hafidh, baada ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kupitia mpango wa elimu ya magerezani unaoungwa mkono na serikali.
15:32 , 2026 Jan 30
Zawadi Tukufu: Mayatima wa Jordan watekeleza Umrah baada ya kung’ara katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Zawadi Tukufu: Mayatima wa Jordan watekeleza Umrah baada ya kung’ara katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Yatima arobaini na wanane nchini Jordan wamepata thawabu tukufu ya safari ya Umrah iliyogharamiwa kikamilifu, baada ya kung’ara katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
15:16 , 2026 Jan 30
Misikiti nchini Thailand yajandaa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Misikiti nchini Thailand yajandaa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

IQNA – Maafisa kutoka misikiti 420 walihudhuria mkutano wa kila mwaka wa Kamati ya Masuala ya Kiislamu ya Jimbo la Songkhla nchini Thailand, kwa lengo la kujiandaa mapema kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
15:01 , 2026 Jan 30
Miaka tisa baada ya mauaji ya Msikiti wa Quebec, Waislamu wa Kanada watafuta haki

Miaka tisa baada ya mauaji ya Msikiti wa Quebec, Waislamu wa Kanada watafuta haki

IQNA – Wakati kumbukumbu ya miaka tisa tangu shambulio la risasi katika msikiti wa Jiji la Quebec, Kanada (Canada) lililoua waumini sita waliokuwa katika ibada jamii za Kiislamu pamoja na washirika wao wanakusanyika si kwa ajili ya kukumbuka pekee, bali pia kutoa wito wa dharura.
14:44 , 2026 Jan 30
Washiriki wa Vikao vya Qur’ani Kosovo Waenziwa

Washiriki wa Vikao vya Qur’ani Kosovo Waenziwa

IQNA – Hafla maalumu ilifanyika katika Msikiti wa Barduşit mjini Pristina, mji mkuu wa Kosovo, kwa lengo la kuwaenzi wanafunzi 80 wa kike wa Qur’ani walioshiriki katika duru za masomo ya Qur’ani Tukufu.
14:13 , 2026 Jan 29
Wasomi wa Kimataifa wakusanyika New Delhi kwa Kongamano la Kimataifa la Qur’ani na Sayansi

Wasomi wa Kimataifa wakusanyika New Delhi kwa Kongamano la Kimataifa la Qur’ani na Sayansi

IQNA – Chuo Kikuu cha Jamia Millia Islamia (JMI) mjini New Delhi, India, kilizindua rasmi kongamano kubwa la kimataifa la siku tatu siku ya Jumatano, likiwakusanya wasomi na wanazuoni kutoka pembe mbalimbali za dunia ili kuchambua kwa kina uhusiano hai kati ya mafundisho ya Qur’ani Tukufu na maendeleo ya sayansi ya kisasa.
13:58 , 2026 Jan 29
Msiba Wafungua Njia Mpya: Baada ya Ajali Mbaya, Mwalimu wa Qur'ani ya Braille Aibuka

Msiba Wafungua Njia Mpya: Baada ya Ajali Mbaya, Mwalimu wa Qur'ani ya Braille Aibuka

IQNA – Mlipuko mkubwa wa fataki uliomkumba Eiman Najwan Anwar Fuad ulimnyang’anya uwezo wa kuona na kuharibu mikono yake akiwa na umri wa miaka 22.
13:28 , 2026 Jan 29
Nakala za Qur'ani za Nukta Nundu (Braille) zasambazwa katika Maonesho ya Vitabu ya Cairo

Nakala za Qur'ani za Nukta Nundu (Braille) zasambazwa katika Maonesho ya Vitabu ya Cairo

IQNA – Nakala za Qur'ani zilizoandikwa kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zinasambazwa kwa wageni wanaotembelea Maonesho ya 57 ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo mwaka 2026.
13:03 , 2026 Jan 29
Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

IQNA – Mamlaka ya Fatwa ya Misri (Dar al‑Ifta) imetangaza kwamba matumizi ya programu za akili mnemba (AI), ikiwemo ChatGPT, katika kufasiri Qur’ani Tukufu hayaruhusiwi kisheria.
11:11 , 2026 Jan 28
Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

IQNA – Idadi ya misikiti mipya inayofunguliwa nchini Kazakhstan imekuwa ikiongezeka kwa kasi katika miaka ya karibuni, ishara ya mwamko wa Kiislamu unaoendelea kushika mizizi katika taifa hilo la Asia ya Kati.
11:01 , 2026 Jan 28
Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA-Kiongozi mkuu wa Kishia nchini Bahrain amesema katika hotuba kwamba mamilioni ya Wairani wanasimama kidete kulinda uhuru na usalama wa nchi yao kupitia kumuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
10:54 , 2026 Jan 28
Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine

Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa katika ghasia za hivi karibuni, maadui, yaani Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine,"
08:55 , 2026 Jan 28
Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, amefanya mazungumzo na Hissein Brahim Taha, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), mjini Beijing siku ya Jumatatu.
14:41 , 2026 Jan 27
Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

IQNA – Akilaani matukio ya hivi karibuni ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu, mwanaharakati wa Qur’ani kutoka Iran ametoa wito wa kuundwa kwa Jumuiya ya Kimataifa wa Maqari wa Qur’ani ambayo miongoni mwa majukumu yake ni kufuatilia hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.
14:15 , 2026 Jan 27
1