IQNA

Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

IQNA – Wavamizi wa Kizayuni wasiokuwa halali waliharibu msikiti katika mji wa Deir Istiya, Ukingo wa Magharibi, usiku wa Alhamisi, wakichoma sehemu za ndani na kuharibu nakala kadhaa za Qur’ani Tukufu katika shambulio la dharau lililoambatana na maandiko ya vitisho.
20:26 , 2025 Nov 14
Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

IQNA – Qur’an Tukufu ni ramani ya kuishi maisha mema, amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Iran, akiongeza kuwa wale wanaoshikamana zaidi na Qur’ani huishi maisha ya heri na ya uadilifu yanayopendeza kwa Mwenyezi Mungu.
20:14 , 2025 Nov 14
Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

IQNA – Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu ya Qatar imezindua maonyesho ya Qur’an sambamba na toleo la 30 la Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin Mohammed Al Thani mjini Doha.
20:02 , 2025 Nov 14
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

IQNA – Mwenyekiti, katibu na wajumbe wa kamati tendaji ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu wametambulishwa rasmi.
19:33 , 2025 Nov 14
Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

IQNA – Qari mashuhuri wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, amemuelezea marehemu Sheikh Abdul Fattah Sha’sha’i kuwa ni msomaji wa Qur’an aliyebeba sauti ya kipekee na ya kifahari, iliyodhihirisha ukubwa wa Qur’an na kuasisi mtindo wa kipekee wa qira’a.
18:49 , 2025 Nov 14
Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

IQNA – Kipindi cha televisheni kiitwacho “Dawlat al Telawah”, ambacho ndicho shindano kubwa zaidi cha vipaji vya usomaji na tartiil ya Qur’ani, kimepangwa kurushwa kupitia vituo vya satelaiti vya Misri.
12:55 , 2025 Nov 13
Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule yameanza mjini Zliten, Libya, Jumanne, tarehe 11 Novemba.
12:47 , 2025 Nov 13
Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

IQNA – Waziri Mkuu wa Iraq, Muhammad Shia Al-Sudani, amesafiri hadi Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, kutembelea makaburi matakatifu  baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge.
12:44 , 2025 Nov 13
Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

IQNA – Sala ya Istisqa (swala ya kuomba mvua) imeswaliwa leo Alhamisi, kufuatia sunnah ya Mtume Muhammad (SAW) ya kuomba rehema ya Mwenyezi Mungu kupitia ibada ya pamoja. Swala hiyo imeswaliwa kufuatia ombi la Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia
12:39 , 2025 Nov 13
Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani kwa watu wenye ulemavu wa macho nchini Kuwait yamefanyika kwa juhudi za Taasis ya Mutamayizin kwa Huduma ya Qur’ani.
12:27 , 2025 Nov 13
Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

IQNA – Bibi Fatima (SA) ni mfano wa subira kuu na mwanga wake unaendelea kung’aa, asema Profesa wa dini kutoka Marekani.
17:54 , 2025 Nov 12
Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

IQNA – Kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Abdul Fattah al‑Sha’sha’i ni ukumbusho wa moja kati ya wasomaji Qur'ani mashuhuri zaidi wa Misri, ambaye unyenyekevu wake na ustadi wa tajwīd ulimpa jina la “Nguzo ya Qiraa ya Qur’ani.”
15:20 , 2025 Nov 12
Picha: Hafla ya Kufunga Tamasha la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Iran

Picha: Hafla ya Kufunga Tamasha la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Iran

IQNA – Hafla ya kufunga Tamasha la 39 la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran ilifanyika Jumapili, tarehe 9 Novemba 2025, katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Azad, tawi la Isfahan.
18:42 , 2025 Nov 11
Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Mifano ya ushirikiano unaojengwa juu ya msingi wa kheri na uchamungu, kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, haijabana tu katika kutoa mali na sadaka kwa masikini na wahitaji. Bali, kama kanuni ya jumla, ushirikiano huu una upeo mpana unaogusa masuala ya kijamii, kisheria, na kimaadili.
18:40 , 2025 Nov 11
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amejibu ripoti ya gazeti la New York Times kuhusu kufukuzwa kwa baadhi ya majenerali wa Marekani kwa kunukuu aya ya Qur’ani Tukufu.
18:27 , 2025 Nov 11
1